Thibitisha kuwa wewe sieI hate this comment...mimi sio muislamu ila siamini katika ujinga wa kumuangalia mtanzania mwenzangu kwa mizani ya dini yake. Nilifikiri tuangalie competence ya atakayepewa
Watakuhujumu kweli kweliHivi hii idara si hata raia wa kawaida wapo. Sasa ipo shida gani nikiteuliwa kuwa DGIS?
Wakati marehemu anateuwa Wagala tupu...ulikuwa hujazaliwa? Tulia ulambe dawaAfande Mathias mbona hujamtaja hapo,au kisa sio wa dini yenu ya mnyezimungu?
Uwe mkurugenzi bila kupita Mbweni?Hivi hii idara si hata raia wa kawaida wapo. Sasa ipo shida gani nikiteuliwa kuwa DGIS?
Mkuu, dini ya mnyezimungu ndio dini gani?Afande Mathias mbona hujamtaja hapo,au kisa sio wa dini yenu ya mnyezimungu?
Huo uthubutu wa kunipinga umeutoa wapi? Huo ujasiri. Labda hunifaham vizuri. Nawatuma kwako vijana wangu Rama na Frenki. Wape ushirik7ano.Wewe huwezi kuwa miongoni.
Ila DG wa TISS hawezi kuwa Hamduni, Na wakitaka wampe ... akumbane na ya Msuya.
Halafu huo utaratibu wako ni wa ku katoto, hauna hoja
Megalodon I doubt huenda wewe ni Mhanga wa either huko TISS au MSD ndio maana UNAHASIRA KUPINDUKIA. Comments zako kwenye huu mjadala is too emotional and aggresively. Yaani ni rahisi sana mtu kujua kilichoko ndani yako. Huenda:-Naamini Huna Taarifa sahihi ya unachoongelea? Diwani kawazidi watangulizi wake kwa maana gani ?
DG wa MSD kafanya vema kwa maana gani ? Amepunguza wizi upi huo ? Ameongeza upatikanaji wa Dialysis ? Mnapotosha umma.!Nasema tena huyo JWTZ wako ni worst DG kuwahi kutokea, ukitaka usahihi kawaulize wafanyakazi wa Msd na Sio porojo za mtandao.
Ni muhimu kuchukua kiongozi aliyekuwa kwenye mfumo kuwa msimamizi wa taasis
Huyu hafai hata kuwa coplo wa jeshi basi tu sijui alifikaje hapo! Hekima busara ni zero!Apewe afande Swilla
Mbona nilienda dettach ta jeikeitiiUwe mkurugenzi bila kupita Mbweni?
Sahau mkuu
Unawatuma kwa zagaro bus service. Watakula njugu za kukaangaHuo uthubutu wa kunipinga umeutoa wapi? Huo ujasiri. Labda hunifaham vizuri. Nawatuma kwako vijana wangu Rama na Frenki. Wape ushirik7ano.
Humu jamvini watu mna vituko hahahaUnawatuma kwa zagaro bus service. Watakula njugu za kukaanga
Hahahaaa. Acha tu. Waanzishe baraza la kuwahoji kama lile la Uubgereza watu watoe nyongo.Humu jamvini watu mna vituko hahaha
Huyo ndo SUZY mwenyewe kwenye ID ya kiraia hapa Jf.Wewe kila cheo unataka apewe Suzy!
M15 ni kama tu FBI inahusika na ukasanyaji wa taarifa za ndani za kiitelinjesia, huwezi fananisha hiyo MI5 na MI6 maana ni wadogo mno.Watu wenye upeo huteua vichwa si jinsia.
Head wa MI5 Uingereza aliwahi kuwa mwanamke.
"Dame Stella Rimington DCB (born 13 May 1935) is a British author and former Director General of MI5, a position she held from 1992 to 1996. She was the first female DG of MI5, and the first DG whose name was publicised on appointment. In 1993, Rimington became the first DG of MI5 to pose openly for cameras at the launch of a brochure outlining the organisation's activitie"
Ref : Wikipedia.
Na kama hufahamu MI5 ni nino:
"The Security Service, also known as MI5 (Military Intelligence, Section 5),[3] is the United Kingdom's domestic counter-intelligence and security agency, and is part of its intelligence machinery alongside the Secret Intelligence Service (MI6)"
πππKura yangu kwa Susan kaganda
Sina shida ya kuthibitisha. After all, mtu hataishi kwa mkate tu. Ngoja nipambanie maeneo ninayoyawezaThibitisha kuwa wewe sie
Mkuu pamoj na kukiheshimu sana kitengo hetu, hukitendei haki kulilinganisha na MI5 au MI6, au hata FBI.M15 ni kama tu FBI inahusika na ukasanyaji wa taarifa za ndani za kiitelinjesia, huwezi fananisha hiyo MI5 na MI6 maana ni wadogo mno.
Ukija kwenye taasisi yetu unaona kurugenzi ya ndani na nje zote ziko chini ya TISS hivyo inahitaji mwanamme hasa mwenye koromeo kuiendesha achana na hawa wanawake ambao hawana vifua, wakitekenywa kidogo tu na wanaume wao wanaropoka kila kitu.
Una dharau sana ndugu, una uhakika gani kuwa kitengo hakina fedha?Mkuu pamoj na kukiheshimu sana kitengo hetu, hukitendei haki kulilinganisha na MI5 au MI6, au hata FBI.
Musuli wa kitenga chochote ni fweza ya kuchezea, na uwezo wa nchi.
Kulinganisha MI5 na kitengo chetu n sawasawa na kulinganisha jeshi zima na police post.