Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Status
Not open for further replies.
Wewe huwezi kuwa miongoni.
Ila DG wa TISS hawezi kuwa Hamduni, Na wakitaka wampe ... akumbane na ya Msuya.
Halafu huo utaratibu wako ni wa ku katoto, hauna hoja
Huo uthubutu wa kunipinga umeutoa wapi? Huo ujasiri. Labda hunifaham vizuri. Nawatuma kwako vijana wangu Rama na Frenki. Wape ushirik7ano.
 
Naamini Huna Taarifa sahihi ya unachoongelea? Diwani kawazidi watangulizi wake kwa maana gani ?

DG wa MSD kafanya vema kwa maana gani ? Amepunguza wizi upi huo ? Ameongeza upatikanaji wa Dialysis ? Mnapotosha umma.!Nasema tena huyo JWTZ wako ni worst DG kuwahi kutokea, ukitaka usahihi kawaulize wafanyakazi wa Msd na Sio porojo za mtandao.
Ni muhimu kuchukua kiongozi aliyekuwa kwenye mfumo kuwa msimamizi wa taasis
Megalodon I doubt huenda wewe ni Mhanga wa either huko TISS au MSD ndio maana UNAHASIRA KUPINDUKIA. Comments zako kwenye huu mjadala is too emotional and aggresively. Yaani ni rahisi sana mtu kujua kilichoko ndani yako. Huenda:-
1. Uliondolewa kitengo fulani
2. Mrija wa upigaji umekata
 
Humu jamvini watu mna vituko hahaha
Hahahaaa. Acha tu. Waanzishe baraza la kuwahoji kama lile la Uubgereza watu watoe nyongo.
Maana hata wabunge huwa hawatuwakilishi wanaenda na mawazo yao bungeni
 
Watu wenye upeo huteua vichwa si jinsia.
Head wa MI5 Uingereza aliwahi kuwa mwanamke.

"Dame Stella Rimington DCB (born 13 May 1935) is a British author and former Director General of MI5, a position she held from 1992 to 1996. She was the first female DG of MI5, and the first DG whose name was publicised on appointment. In 1993, Rimington became the first DG of MI5 to pose openly for cameras at the launch of a brochure outlining the organisation's activitie"
Ref : Wikipedia.

Na kama hufahamu MI5 ni nino:

"The Security Service, also known as MI5 (Military Intelligence, Section 5),[3] is the United Kingdom's domestic counter-intelligence and security agency, and is part of its intelligence machinery alongside the Secret Intelligence Service (MI6)"
M15 ni kama tu FBI inahusika na ukasanyaji wa taarifa za ndani za kiitelinjesia, huwezi fananisha hiyo MI5 na MI6 maana ni wadogo mno.

Ukija kwenye taasisi yetu unaona kurugenzi ya ndani na nje zote ziko chini ya TISS hivyo inahitaji mwanamme hasa mwenye koromeo kuiendesha achana na hawa wanawake ambao hawana vifua, wakitekenywa kidogo tu na wanaume wao wanaropoka kila kitu.
 
M15 ni kama tu FBI inahusika na ukasanyaji wa taarifa za ndani za kiitelinjesia, huwezi fananisha hiyo MI5 na MI6 maana ni wadogo mno.

Ukija kwenye taasisi yetu unaona kurugenzi ya ndani na nje zote ziko chini ya TISS hivyo inahitaji mwanamme hasa mwenye koromeo kuiendesha achana na hawa wanawake ambao hawana vifua, wakitekenywa kidogo tu na wanaume wao wanaropoka kila kitu.
Mkuu pamoj na kukiheshimu sana kitengo hetu, hukitendei haki kulilinganisha na MI5 au MI6, au hata FBI.
Musuli wa kitenga chochote ni fweza ya kuchezea, na uwezo wa nchi.
Kulinganisha MI5 na kitengo chetu n sawasawa na kulinganisha jeshi zima na police post.
 
Mkuu pamoj na kukiheshimu sana kitengo hetu, hukitendei haki kulilinganisha na MI5 au MI6, au hata FBI.
Musuli wa kitenga chochote ni fweza ya kuchezea, na uwezo wa nchi.
Kulinganisha MI5 na kitengo chetu n sawasawa na kulinganisha jeshi zima na police post.
Una dharau sana ndugu, una uhakika gani kuwa kitengo hakina fedha?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom