Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Status
Not open for further replies.
Naunga mkono kaganda ale cheo hicho mama anafaa kwa ukuda
 
Hakuna fununu zozote kuhusu Afande Nyigesa aliyepelekwa makao makuu Dodoma hivi karibuni? Hebu sikiliza vizuri hapo...
 
Haiwezekani Wambura kuwa IGP wanatoka sehemu moja na Sirro.labda kwa baadae.

Hii inatofauti gani na udini? Na wakristo nao waseme wakichaguliwa waislamu kwa mlolongo wa vyeo vya nafazi za juu iwe serikali au chamani. Tutashika zamu zetu kuanzia karani, dereva, mfagizi/ mhudumu na aliye wa cheo cha juu Mkiristu kwa mujibu wa Ester 4:14 tutafika?
 
Diwani kwa nini asiachwe akamalizima muda wake hapo? Wambura akiwa IGP baada ya IGP Sirro kumaliza muda wake litakuwa jambo zuri binafsi na mkubali huyu mtu ni mtendaji mzuri anaye ongozwa na hekima.
Huyo jamaa yako unayemkubali kama atafanikiwa kukomesha wizi wa polisi, nitaungana nawe. Ile tabia ya polisi ya "ndugu yako ana makosa tunamsaidiaje?" Ife.
 
Huyo jamaa yako unayemkubali kama atafanikiwa kukomesha wizi wa polisi, nitaungana nawe. Ile tabia ya polisi ya "ndugu yako ana makosa tunamsaidiaje?" Ife.

Basi Diwani akimaliza muda wake wampeleke TISS na kuanzia huko anaweza kukomesha hayo ya Polisi maana anawajua nje ndani. TISS madili yao kwa asilimia kubwa yako juu sana hawajawa compromised kihivyo.
 
Kumbe yule kombe alikua luteni jenerali na mkuu wa usalama wa taifa na bado akauwawa kwa kudhaniwa mwizi wa magari.
Hii ndio nchi yetu tanganyika.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndio ujue hivyo viko viapo vya short ya umeme wa hightension ukicheza nao kizembe inakula kwako. Kwani kila askari polisi anaye fanya operetion anajua sura ya mkurugezi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom