Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Tetesi: Diwani Athumani au Wambura Camilius mmoja anaweza kuwa IGP, Selemani Mombo kwenda TISS?

Status
Not open for further replies.
Kwani nchi imefika mahali gani?Kuwa muwazi mkuu.

Halafu kwa nini tunapenda kuangukia kwenye mikono ya satanists?Agenda ya kuweka women in positions of power ni demonic.Nia ya Shetani ni kwenda kinyume na maagizo ya Mungu ambayo ni kumfanya mwanaume awe kiongozi na mwanamke awe msaidizi every where,starting with the family. Satan also wants to put Women in positions of power because they are easy to control,manipulate and cheat.What Satan did at the Garden of Eden is still going on today through Women.

Let me clear,hili wimbi la wanawake kuwa viongozi wa juu kitaifa is a disaster for the Nation as a whole and the families involved.Tunaweza tukashupaza shingo leo na kudhani ninachosema ni porojo,lakini ukweli utakuja kudhihirika when enormous damage has already been done.Satan is very smart and 24/7 at work.
Una mawazo ya ujima, ushamba na generally backward.
 
NARUDIA TENA DG WA TISS MTARAJIWA NI HAMDUNI. SIKU HIZI KUNA KAUTARATIBU FLANI USIO RASMI LAZIMA UWE BOSS WA TAKUKURU KWANZA KABLA UJAWA BOSS WA TISS.

SIWEZI KUELEZA KIUNDANI ZAID KWASABABU YA VIAPO NILIVYOKULA HUKU NIKINYOOSHEWA BASTOLA.
Hahahaa!
 
historia ya TZ haitakaa imsahau DIWANI kamwee kama ambavyo Mama hatakaa amsahau. DIWANI kiumbe mfupi mwenye roho ngumu kupita maelezo.

watu walikaa, wakasafiri, wakamaliza sherehe, wakarudi mwamba kavaa miwani.... haina kuongea kila mtu kanuna....

sio military intell wala intell yoyote ila paramill. intell yenyewe ya nchi tena wachache sanaaa walijua nini kinafuta

watu wakaishia kusema HAKUNA TATIZO TUCHAPE KAZI....

mwisho nchi inapumua.

nawasilisha
Acha usanii.
Wakati mama anaapishwa, alisindikizwa Ikulu na Jenerali wa JWTZ, wengine wote walipigwa ganzi.
 
Acha usanii.
Wakati mama anaapishwa, alisindikizwa Ikulu na Jenerali w JWTZ, wengine wote wapigwa ganzi.
kwanza upo nje ya nilichokisema/maanisha kwa 100%.....


nikija kwa mada yako...
baada ya kuapishwa?? unaijua tofauti ya ulinzi na kusindikiza?? Tanzania haitakaa raisi akalindwa na Mtu wa TPDF...

ukweli mchungu ni kwamba kwa TISS, TPDF ni wadogo sanaaaa saaaanaa linapokuja swala la ulinzi wa viongozi yani 15% ya uwezo hawafiki.. NA MABEYO ANALIJUA HILI

NAWASILISHA
 
NARUDIA TENA DG WA TISS MTARAJIWA NI HAMDUNI. SIKU HIZI KUNA KAUTARATIBU FLANI USIO RASMI LAZIMA UWE BOSS WA TAKUKURU KWANZA KABLA UJAWA BOSS WA TISS.

SIWEZI KUELEZA KIUNDANI ZAID KWASABABU YA VIAPO NILIVYOKULA HUKU NIKINYOOSHEWA BASTOLA.
Hii ilitokea pale miti mitatu mbweni kwenye kile kipori au pale jirani na kanisa la Roma Mbuyuni alipopigwa mwalimu Nyerere mtama?
 
kwanza upo nje ya nilichokisema/maanisha kwa 100%.....


nikija kwa mada yako...
baada ya kuapishwa?? unaijua tofauti ya ulinzi na kusindikiza?? Tanzania haitakaa raisi akalindwa na Mtu wa TPDF...

ukweli mchungu ni kwamba kwa TISS, TPDF ni wadogo sanaaaa saaaanaa linapokuja swala la ulinzi wa viongozi yani 15% ya uwezo hawafiki.. NA MABEYO ANALIJUA HILI

NAWASILISHA
TISS haiwezi kuwa kila kitu na JWTZ haiwezi kuwa kila kitu.. kuna mgawanyoa wa kazi na kiutendaji
 
Huu ujinga siku akiufanya raisi yeyote hakuna rangi ataacha kuona.

Upolisi ni taaluma inayojitegemea,halafu kuna uaskari.
Kila polisi ni askari ila sio kila askari ni polisi,hata waliousomea huko ccp wengi bado upolisi hawana(rejea kangi lugola) ije kuwa mwanajeshi asiyejua hata jukumu la msingi la mkuu wa kituo!!!
Tofauti ya ukuu wa polisi na ukuu wa taasisi nyingine,ili uwe mkuu bora wa taasisi hiyo lazima uwe umeotumikia kwa vyeo mbali mbali.unamweka mjeshi ambaye hajui kutoa maamuzi katika vurugu za uchaguzi,ataagiza watu wapigwe risasi za moto.

Kwanza atapata upinzani tokea ndani ya taasisi,maana sio pure.
Pili kazi yenyewe itamshinda maana haifahamu vyema.
Acha hizoo.
Polisi wengi ni dhaifu mno kiutendaji.
Officer ngazi ya DCI au ACP hajui kuisimamia PGO, utamwita polisi huyo au mgambo wa kamata kamata tu.
 
kwanza upo nje ya nilichokisema/maanisha kwa 100%.....


nikija kwa mada yako...
baada ya kuapishwa?? unaijua tofauti ya ulinzi na kusindikiza?? Tanzania haitakaa raisi akalindwa na Mtu wa TPDF...

ukweli mchungu ni kwamba kwa TISS, TPDF ni wadogo sanaaaa saaaanaa linapokuja swala la ulinzi wa viongozi yani 15% ya uwezo hawafiki.. NA MABEYO ANALIJUA HILI

NAWASILISHA
Kumbe story behind imekupita mkuu.
Pole.
 
DGIS Diwani Athumani kuondolewa, aweza kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP)

Chanzo kinadokeza kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa, Diwani Athumani Msuya anaenda kuondolewa na anaandaliwa kuwa Mkuu wa Polisi Tanzania (IGP)

Aidha, inaelezwa kuwa yeye na Wambura Camilius ni miongoni mwa majina yaliyopendekezwa kuwa IGP ingawa lolote linaweza kutokea.

Nafasi ya Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa mpya inaonekana inaweza kumwangukia Selemani Mombo ila inadaiwa kuna presha ya kutaka TPDF idara ya Military Intelligence ndiyo itoe Mkurugenzi safari hii.

Imetoka hapa DGIS Diwani Athumani kuondolewa, aweza kuwa IGP - Imevuja!

Hawa ndo waliowahi kuwa Maboss wa Usalama wa Taifa yaani TISS;

Emilio Mzena (1961 to 1975),

Dr Lawrence Gama (1975-78)

Dr Hassy Kitine (1978-80).

Dr Augustine Mahiga (1980-83)

Lieutenant General Imrani Kombe (1983-1995).

Apson Mwang'onda (1995-2005)

Othman Rashid Othman (2005-2016).

Dk Modestus Kipilimba* (2016- 2019)

Diwani Athuman (2019-2022)

MY TAKE;

Kwa Nchi ilipofika, natamani SACP Susan Kaganda, ndo awe IGP Mpya

Mkuu wa jeshi la Polisi (IGP) ni zamu ya Zanzibar sasa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom