ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Lile jasusi sio la kubeza manake lilisema litashinda dakika ya tisini. Naona kama ni lishindi lile kwa yaliyotokea au ww mkuu unaonaje!??Kama yule jasusi mbobezi alitepeta baada ya kutikiswa na wenye system mpaka akakonda 🤣🤣🤣 japo alianza na kiburi sana baada ya kunyofolewa chamani akabakia anapiga majungu tu ya chini chini 😀 itakuwa huyo Diwani Athmani. Hakuna mtu anayeweza kuuzidi mfumo uwezo. Hakuna na hatatokea.
Hakuna mbabe nje ya Cheo cha kitaifa. Unachekechwa vizuri tu na mdomo unaufyata tumbav!!!
sisi tusham disconnect tayari, yupo chini ya uangalizi - kwisha habari yake.Hii maana yake ni kuwa Disconnect na mfumo.
Hakuna Jasusi mbele ya Raisi, CDF, TPDF na JWTZ kwa ujumla.Huyo ni jasusi wewe pimbi. Unafikiri akili ya kijasusi ni sawa na yako ya ya Kimwananyamala manjunju
Siyo peter ni peral we vipi ama hukumsikia mama kwenye movie unasound kibongo bongoSuala la peter wa royal tour, halihusiki kweli?
Kutenguliwa balozi wa USA, na yeye kuondolewa kwake madarakani, huenda walishindwa kumpa mama siri na malengo halisi ya peter!
Nchi ngumu sana hii.
Maswali ni mengi kuliko majibu
Tafuta hela kijana haya makasiriko sio wewe kabisaMamba anatisha akiwa ndani ya maji, nje ya maji màmba ni sawa na mjusi tu.
Saa hizi ukimkuta Diwani Athman hata ukimtemea mate anaweza kukuomba wewe msamaha.
Mtoa mada umem over estimate Diwani bila sababu, I assure you he is nobody in this country.
Ingekuwa hivyo Magu asingesepaHakuna Jasusi mbele ya Raisi, CDF, TPDF na JWTZ kwa ujumla.
Hamna alichoshinda labda kushindia kuwalisha sungura wake mchicha nyumbani kwake 🤣🤣🤣!Lile jasusi sio la kubeza manake lilisema litashinda dakika ya tisini. Naona kama ni lishindi lile kwa yaliyotokea au ww mkuu unaonaje!??
Kama analeta dharau za kip*****zi za kukupangia ugonge HANGER na MAPAZIA ikulu, kwanini usimgomee?Chegeni alikuwa na threat ipi ndugu?, Diwani mkurugenzi wa TISS ana rank kubwa, kumgomea Rais ni kujitia matatani zaidi.
Labda ndo alirecord vile viding vikimdiscuss mwenda zake na.sasa vimeshikilia mpinisisi tusham disconnect tayari, yupo chini ya uangalizi - kwisha habari yake.
Kutesa ni kwa zamu, na kazi nyingine hatumpi si kaikataa hii ya ukatibu.
Hamna limenyemelea mpaka limewezaHamna alichoshinda labda kushindia kuwalisha sungura wake mchicha nyumbani kwake 🤣🤣🤣!
Ushindi ilitakiwa apindue meza kama M7 wa Uganda.
Akili za kuambiwa, Changanya na zako-Mzee mmoja aliwahi Sema.Mkuu
Hivi aliemshauri Hii move ni Nani!?
Aliemwambia toa diwani weka pale ana MALENGO gani haswa KWA awamu HII!!?
Yaani Lengo lake ni kujenga au kubomoa!?
Na kama ni kujenga ni kujenga mtu au Taifa!?
Kuna mtu anamdanganya mwenye mamlaka Ili kuleta mogogoro Fulani KWA MASLAHI Binafsi!!
Au ndio system inamchezesha michezo fulani MWENYE mamlaka na yeye anashindwa kuielewa!!?
Kwanza walimuingiza chaka kwenye kutangaza nia ya kugombea 2025,sasa wanamchanganyia mafaili kwenye uteuzi yaani teua tengua!!
Kuna mtu anafunga magoli dakika ya 90 halafu haonekani!!
Hivi niguse ninuke Yuko WAPI!!?
Simuoni siku hizi mitandaoni!
Nchi hii, watu huwa wanapenda kukuza sana mambo. Utasikia, ooh mkurugenzi wa Taifa ana siri zote nzito za nchi hii! Upuuzi mtupu.Ameukataa uteuzi na sio kutenguliwa!
Niliandika hapa juzi!Iweje Mkurugenzi TISS kupelekwa Ikulu!
Diwani ni mwenye kujitambua,ameukataa uteuzi ule.
Diwani ana uzoefu na serikali zaidi ya Nne za CCM.
Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!
Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!
Diwani sio Kabudi au Lukuvi!
Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....
Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!
Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.
Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!
Diwani sio wa kubezwa!
Diwani anastahili kupewa ulinzi kwa usalama wake!
Kitendo cha kuikataa safe house,ina maana amekataa ku surrender mawasiliano yake yote.
Ili kuanza kutumia mapya ya Safe House!
Na mengi bado yanakuja,maana kadri inavyonyesha,ndio matobo yanavyozidi kuonekana.
"Rais Samia atengua uteuzi wa Diwani Athumani"
By Bakari Kiango
(Mwananchinewspaper)
Alhamisi,05/01/2023.
Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Ikulu, Kamishna Diwani Athumani uliodumu kwa siku mbili baada ya kuteuliwa akitokea Idara ya Usalama TISS.
Kamishna Diwani aliteuliwa Januari 3, 2023 kuwa Katibu Mkuu wa Ikulu, akitokea katika wadhifa wa Mkurungezi Mkuu wa TISS, nafasi aliyohudumu kwa siku 1,210 tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli.
Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Januari 5, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa nafasi ya Diwani imechukuliwa na Mululi Mahendeka aliyekuwa ofisa mwandimizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.
Alamsikhi
10101.
Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!Ameukataa uteuzi na sio kutenguliwa!
Niliandika hapa juzi!Iweje Mkurugenzi TISS kupelekwa Ikulu!
Diwani ni mwenye kujitambua,ameukataa uteuzi ule.
Diwani ana uzoefu na serikali zaidi ya Nne za CCM.
Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!
Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!
Diwani sio Kabudi au Lukuvi!
Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....
Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!
Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.
Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!
Diwani sio wa kubezwa!
Diwani anastahili kupewa ulinzi kwa usalama wake!
Kitendo cha kuikataa safe house,ina maana amekataa ku surrender mawasiliano yake yote.
Ili kuanza kutumia mapya ya Safe House!
Na mengi bado yanakuja,maana kadri inavyonyesha,ndio matobo yanavyozidi kuonekana.
"Rais Samia atengua uteuzi wa Diwani Athumani"
By Bakari Kiango
(Mwananchinewspaper)
Alhamisi,05/01/2023.
Dar es Salaam.
Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Ikulu, Kamishna Diwani Athumani uliodumu kwa siku mbili baada ya kuteuliwa akitokea Idara ya Usalama TISS.
Kamishna Diwani aliteuliwa Januari 3, 2023 kuwa Katibu Mkuu wa Ikulu, akitokea katika wadhifa wa Mkurungezi Mkuu wa TISS, nafasi aliyohudumu kwa siku 1,210 tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli.
Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Januari 5, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa nafasi ya Diwani imechukuliwa na Mululi Mahendeka aliyekuwa ofisa mwandimizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.
Alamsikhi
10101.
Alikuwa DG wa TISS kwa siku 1000 na ushee anajua pa kuingilia na pa kutokea... ANAJIAMINI!Kukataa uteuzi wa Rais anajiweka ktk hatari kubwa sana, nakwakatiba hii ilivyompa Rais mamlaka wanaweza mchomekea kesi nzito akafie gereza la ukonga
Chegeni alikuwa Askari? Tofautisheni kati ya kuteuliwa na Rais, na kuteuliwa na Amiri Jeshi Mkuu. Tofautisheni mambo ya hiari na mambo ya amri.Katiba ndivyo inavyosema?
Diwani sio wa kwanza kuukataa uteuzi!
Hata Chegeni pia aliukataa uteuzi wa kuwa RC.
Ahaa kwahio kumbe ile Corona mlisingizia tu au sio.Ingekuwa hivyo Magu asingesepa
Ahaaahhahahahahah huyo jamaa nilikuwaga sjamuelewa kwenye kale kamsemo ka niguse ninuke..na dakika ya 89..Mkuu
Hivi aliemshauri Hii move ni Nani!?
Aliemwambia toa diwani weka pale ana MALENGO gani haswa KWA awamu HII!!?
Yaani Lengo lake ni kujenga au kubomoa!?
Na kama ni kujenga ni kujenga mtu au Taifa!?
Kuna mtu anamdanganya mwenye mamlaka Ili kuleta mogogoro Fulani KWA MASLAHI Binafsi!!
Au ndio system inamchezesha michezo fulani MWENYE mamlaka na yeye anashindwa kuielewa!!?
Kwanza walimuingiza chaka kwenye kutangaza nia ya kugombea 2025,sasa wanamchanganyia mafaili kwenye uteuzi yaani teua tengua!!
Kuna mtu anafunga magoli dakika ya 90 halafu haonekani!!
Hivi niguse ninuke Yuko WAPI!!?
Simuoni siku hizi mitandaoni!
Korona ya mchongoAhaa kwahio kumbe ile Corona mlisingizia tu au sio.
Uko sahihi kabisa!Sijui hua akipewa jina au ushauri hua anameza tu au anatafakari na kuuliza maswali?
Diwani amefanya kazi nzuri sana awamu ya tano. Leo hii unakuta mbowe na genge lake ndio wanataka atoke TISS na mama anakubali na kumshusha hadhi.
Uongo wa akina mbowe umekolea hadi kiongozi dhaifu wa ccm anaamini.
Ccm haijafanya kosa kuwashinda kabisa chadema kwenye uchaguzi mkuu 2020. Wananchi waliona kile kinachofanywa na ccm ya magufuli na kuipa ccm kura karibu zote.