Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Kama yule jasusi mbobezi alitepeta baada ya kutikiswa na wenye system mpaka akakonda 🤣🤣🤣 japo alianza na kiburi sana baada ya kunyofolewa chamani akabakia anapiga majungu tu ya chini chini 😀 itakuwa huyo Diwani Athmani. Hakuna mtu anayeweza kuuzidi mfumo uwezo. Hakuna na hatatokea.

Hakuna mbabe nje ya Cheo cha kitaifa. Unachekechwa vizuri tu na mdomo unaufyata tumbav!!!
Lile jasusi sio la kubeza manake lilisema litashinda dakika ya tisini. Naona kama ni lishindi lile kwa yaliyotokea au ww mkuu unaonaje!??
 
Mamba anatisha akiwa ndani ya maji, nje ya maji màmba ni sawa na mjusi tu.

Saa hizi ukimkuta Diwani Athman hata ukimtemea mate anaweza kukuomba wewe msamaha.

Mtoa mada umem over estimate Diwani bila sababu, I assure you he is nobody in this country.
Tafuta hela kijana haya makasiriko sio wewe kabisa
 
Lile jasusi sio la kubeza manake lilisema litashinda dakika ya tisini. Naona kama ni lishindi lile kwa yaliyotokea au ww mkuu unaonaje!??
Hamna alichoshinda labda kushindia kuwalisha sungura wake mchicha nyumbani kwake 🤣🤣🤣!

Ushindi ilitakiwa apindue meza kama M7 wa Uganda.
 
Mkuu

Hivi aliemshauri Hii move ni Nani!?

Aliemwambia toa diwani weka pale ana MALENGO gani haswa KWA awamu HII!!?

Yaani Lengo lake ni kujenga au kubomoa!?

Na kama ni kujenga ni kujenga mtu au Taifa!?

Kuna mtu anamdanganya mwenye mamlaka Ili kuleta mogogoro Fulani KWA MASLAHI Binafsi!!

Au ndio system inamchezesha michezo fulani MWENYE mamlaka na yeye anashindwa kuielewa!!?

Kwanza walimuingiza chaka kwenye kutangaza nia ya kugombea 2025,sasa wanamchanganyia mafaili kwenye uteuzi yaani teua tengua!!


Kuna mtu anafunga magoli dakika ya 90 halafu haonekani!!

Hivi niguse ninuke Yuko WAPI!!?

Simuoni siku hizi mitandaoni!
Akili za kuambiwa, Changanya na zako-Mzee mmoja aliwahi Sema.
 
Ameukataa uteuzi na sio kutenguliwa!
Niliandika hapa juzi!Iweje Mkurugenzi TISS kupelekwa Ikulu!
Diwani ni mwenye kujitambua,ameukataa uteuzi ule.
Diwani ana uzoefu na serikali zaidi ya Nne za CCM.

Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!

Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!

Diwani sio Kabudi au Lukuvi!

Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....

Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!

Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.

Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!

Diwani sio wa kubezwa!
Diwani anastahili kupewa ulinzi kwa usalama wake!

Kitendo cha kuikataa safe house,ina maana amekataa ku surrender mawasiliano yake yote.
Ili kuanza kutumia mapya ya Safe House!

Na mengi bado yanakuja,maana kadri inavyonyesha,ndio matobo yanavyozidi kuonekana.

"Rais Samia atengua uteuzi wa Diwani Athumani"

By Bakari Kiango
(Mwananchinewspaper)
Alhamisi,05/01/2023.

Dar es Salaam.

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Ikulu, Kamishna Diwani Athumani uliodumu kwa siku mbili baada ya kuteuliwa akitokea Idara ya Usalama TISS.

Kamishna Diwani aliteuliwa Januari 3, 2023 kuwa Katibu Mkuu wa Ikulu, akitokea katika wadhifa wa Mkurungezi Mkuu wa TISS, nafasi aliyohudumu kwa siku 1,210 tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli.

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Januari 5, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa nafasi ya Diwani imechukuliwa na Mululi Mahendeka aliyekuwa ofisa mwandimizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.

Alamsikhi
10101.
Nchi hii, watu huwa wanapenda kukuza sana mambo. Utasikia, ooh mkurugenzi wa Taifa ana siri zote nzito za nchi hii! Upuuzi mtupu.

Yaani mtu mwenye akili timamu kabisa uamini kuwa mkurugenzi wa usalama wa Taifa anajua siri nyingi nzito za Taifa kumzidi Rais.

Mkurugenzi wa usalama wa Taifa amepewa kakitengo tu ndani ya usalama wa nchi. Na anaripoti kwa Rais. Kuna IGP, naye ana kitengo cha ujasusi, naye anaripoti kwa Rais. Kuna CDF, naye ana kitengo cha ujasusi, naye anaripoti kwa Rais.

Lakini wapo pia watu maalum wanaofanya ujasusi wasioripoti kwa IGP, kwa CDF au Mkurugenzi wa TISS, ambao wanaripoti moja kwa moja kwa Rais. Hata mkurugenzi wa TISS, IGP na CDF wanafanyiwa ujasusi pia ili kuwa na uhakika kuwa wakati wote wapo kwenye mstari.

Halafu mtu anatoka huko anaropoka eti mkurugenzi wa TISS ana siri nyingi, kama vile ana uelewa wa mambo mengi kumzidi Rais ambaye anapokea taarifa mbalimbali toka kwa vyombo vingi vya ulinzi na usalama.

Achaneni na hekaya za Abunuasi kusema kwamba Diwani amekataa uteuzi wa Rais. Hayo ni maneno ya watu wa vijiweni wasio hata na ABC ya hiyo idara aliyokuwa akiiongoza Diwani. Kwa kadiri ya kiapo cha hawa watu na kwa nature ya kazi yao, hawaruhusiwi kukataa order yoyote toka kwa Rais. Akifanya hivyo ni sawa na uhaini.

Huyu bila shaka kuna makosa amefanya, akashushwa na kupelekwa karibu ili achunguzwe zaidi mienendo yake. Huenda ndani ya muda mfupi wa uteuzi kuna taarifa mbaya zaidi zimemfikia mkuu wa nchi kiasi cha kuonekana kuwa hafai hata kwa nafasi hiyo au pengine anafikiriwa kwa nafasi tofauti na hiyo.
 
Ameukataa uteuzi na sio kutenguliwa!
Niliandika hapa juzi!Iweje Mkurugenzi TISS kupelekwa Ikulu!
Diwani ni mwenye kujitambua,ameukataa uteuzi ule.
Diwani ana uzoefu na serikali zaidi ya Nne za CCM.

Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!

Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!

Diwani sio Kabudi au Lukuvi!

Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....

Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!

Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.

Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!

Diwani sio wa kubezwa!
Diwani anastahili kupewa ulinzi kwa usalama wake!

Kitendo cha kuikataa safe house,ina maana amekataa ku surrender mawasiliano yake yote.
Ili kuanza kutumia mapya ya Safe House!

Na mengi bado yanakuja,maana kadri inavyonyesha,ndio matobo yanavyozidi kuonekana.

"Rais Samia atengua uteuzi wa Diwani Athumani"

By Bakari Kiango
(Mwananchinewspaper)
Alhamisi,05/01/2023.

Dar es Salaam.

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Ikulu, Kamishna Diwani Athumani uliodumu kwa siku mbili baada ya kuteuliwa akitokea Idara ya Usalama TISS.

Kamishna Diwani aliteuliwa Januari 3, 2023 kuwa Katibu Mkuu wa Ikulu, akitokea katika wadhifa wa Mkurungezi Mkuu wa TISS, nafasi aliyohudumu kwa siku 1,210 tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli.

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Januari 5, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa nafasi ya Diwani imechukuliwa na Mululi Mahendeka aliyekuwa ofisa mwandimizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.

Alamsikhi
10101.
Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!

Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!

Diwani sio Kabudi au Lukuvi!

Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....

Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!

Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.[emoji2827]
 
Kukataa uteuzi wa Rais anajiweka ktk hatari kubwa sana, nakwakatiba hii ilivyompa Rais mamlaka wanaweza mchomekea kesi nzito akafie gereza la ukonga
Alikuwa DG wa TISS kwa siku 1000 na ushee anajua pa kuingilia na pa kutokea... ANAJIAMINI!

Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!

Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!

Diwani sio Kabudi au Lukuvi!

Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....

Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!

Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.
 
Katiba ndivyo inavyosema?

Diwani sio wa kwanza kuukataa uteuzi!

Hata Chegeni pia aliukataa uteuzi wa kuwa RC.
Chegeni alikuwa Askari? Tofautisheni kati ya kuteuliwa na Rais, na kuteuliwa na Amiri Jeshi Mkuu. Tofautisheni mambo ya hiari na mambo ya amri.

Teuzi zote ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama ni amri.
 
Mkuu

Hivi aliemshauri Hii move ni Nani!?

Aliemwambia toa diwani weka pale ana MALENGO gani haswa KWA awamu HII!!?

Yaani Lengo lake ni kujenga au kubomoa!?

Na kama ni kujenga ni kujenga mtu au Taifa!?

Kuna mtu anamdanganya mwenye mamlaka Ili kuleta mogogoro Fulani KWA MASLAHI Binafsi!!

Au ndio system inamchezesha michezo fulani MWENYE mamlaka na yeye anashindwa kuielewa!!?

Kwanza walimuingiza chaka kwenye kutangaza nia ya kugombea 2025,sasa wanamchanganyia mafaili kwenye uteuzi yaani teua tengua!!


Kuna mtu anafunga magoli dakika ya 90 halafu haonekani!!

Hivi niguse ninuke Yuko WAPI!!?

Simuoni siku hizi mitandaoni!
Ahaaahhahahahahah huyo jamaa nilikuwaga sjamuelewa kwenye kale kamsemo ka niguse ninuke..na dakika ya 89..

Alipofariki ndipo nikaelewa mnuko..

Wabililah wautaufiq waminqum
 
Sijui hua akipewa jina au ushauri hua anameza tu au anatafakari na kuuliza maswali?
Diwani amefanya kazi nzuri sana awamu ya tano. Leo hii unakuta mbowe na genge lake ndio wanataka atoke TISS na mama anakubali na kumshusha hadhi.
Uongo wa akina mbowe umekolea hadi kiongozi dhaifu wa ccm anaamini.
Ccm haijafanya kosa kuwashinda kabisa chadema kwenye uchaguzi mkuu 2020. Wananchi waliona kile kinachofanywa na ccm ya magufuli na kuipa ccm kura karibu zote.
Uko sahihi kabisa!
 
Back
Top Bottom