Case closed, bila magwanda na crown, hata polisi ni raia tu. Hata Mgambo anamzidiAre you sure with this nonsence?
Diwani Sasa hivi aitishe press conference unazani Nini kitatokea? Dont undermine that man.
Hata uchaguzi wa 2025 akiamua asimame upande wa mpanzani wa CCM na aongea any shit Raia wataamini tu.
Once a TISS is always a TISS.
Membe ameshajichokea , hawezi himili mikiki mikiki ya watoto wa mjini.Kiutani utani, ndiye yeye 2025
Duhhh mkuu hii umenipa ni mpya sasa sikuwahi kuipata mahali, wale jamaa wa kilo 300 ambayo ni dhahabu iliyotoka kwa mchungaji na ma hardtop? dah sikujua kabisa mkuu.Hahahaha, Gereza la Ukerewe. Hivi unajuwa nini kilimleta mle Gerezani? Alikuja kiwatoa wale walioshikwa na dhahabu. Polisi hawakujua kuwa ni mchongo wake na Kagame wakawakamata. Ila wajinga wanasema Magufuli alikuwa mzalendo, nawadharau sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe kuna tofauti kati ya TPDF NA JWTZ[emoji15]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mtu kama huyu naye anajiona amejenga hoja. Tuwahurumie tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimechekaaa sanaaa.kwamba mamba akiwa nje ya maji ni mjusi tu!!
ndio mnamwambia haya mama yenu.
Wabongo ni WANAFIKI.Wabongo usiwaamini kihivyo,wanakuwa royal Kwa yule mtu mwenye nguvu Kwa wakati huo,sasa hivi hawawezi kuwa royal Kwa Diwani wakati hawana Cha kubenefit kutoka kwake
Na mie nataka kujua hapa.Hivi Safe House ndio Ikulu? Au Safe House ni kuwa under arrest kwenye nyumba zao Tiss?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo hakuna usaili kabla ya teuzi.
Mamlaka ya teuzi ina fanya kazi kifalme falme.
Bosi wa TISS kakataa kwenda Ikulu kusimamia wapishi, madereva, walinzi, wasemaji incompetent wa Ikulu, ukarani wa kufungua barua za Rais, kupanga ratiba na kuratibu vishughuli vya ubwabwa Ikulu..
RC na DG wa usalama ni vitu viwili tofauti. Kumbuka huyu DG anajua mambo mengi sana. Mengine ya kheri Yakhe...na mengine ya shariKatiba ndivyo inavyosema?
Diwani sio wa kwanza kuukataa uteuzi!
Hata Chegeni pia aliukataa uteuzi wa kuwa RC.
Usimuongopee marehemu, hawezi kuja jitetea!Hahahaha, Gereza la Ukerewe. Hivi unajuwa nini kilimleta mle Gerezani? Alikuja kiwatoa wale walioshikwa na dhahabu. Polisi hawakujua kuwa ni mchongo wake na Kagame wakawakamata. Ila wajinga wanasema Magufuli alikuwa mzalendo, nawadharau sana
Uongo siyo tusi bali ni lugha kali, ungeweza kutumia maneno "hauko sahihi"... Kama mzazi wako akisema kitu ambacho siyo cha kweli hatuwezi kumwambia baba muongo sana wewe bali tutatumia maneno mazuri kufikisha ujumbe ule ule.Uongo ni tusi?
Naibu IGP alikuwa Abdul rahman Kaniki, na huo utaratibu aliuleta Jk ila hayati alitengeu.
Kama jambo hujui Ni vema kutulia kimya.
So how sarcastic and satirical your post is?Fasihi haiko wazi kwa wote, mpaka uwe na akili ndiyo utaelewa sarcasm au satire iliyotumika kwenye "kutema mate". Nendeni shule UVCCM mtanishukuru baadaye
Wanadhani eti uteuzi unafanyika kama surprise [emoji1]Utoto mwingi, hana uwezo wa kukataa teuzi yoyote ya Rais.
Wambura ajiandae kufanya kazi nyingine ndani ya jeshi la polisi hususani kufukuzana na majambazi huko maporini, hajaonesha weledi wowote kwenye hiyo position labda ya kutokomeza panya roadIGP Wambura vipi naye tutegemee atapewa uteuzi mwingine ?
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Ramadhan Kingai naye atapangiwa kazi nyingine ?