Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Amekataa teuzi...mambo ni moto... Alhaji Msuya hatak mchezo.
Kukataa ni uhaini na adhabu ni inaweza kuwa kifo au kuishi kama marehemu jumbe... (RIP)

Hivyo msiwe mna andika ili mradi kuandika... una zani kwann wakina mbowe hawakatai wakiitwa kwenda kwa Mh. Ikulu? Ni uhaini kukataa wewe kama mtanzania kwa nchi yako
 
Kimenuka. Amepigwa chini mazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…