Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Diwani Athumani Msuya atenguliwa Ikulu

Ameukataa uteuzi na sio kutenguliwa!
Niliandika hapa juzi!Iweje Mkurugenzi TISS kupelekwa Ikulu!
Diwani ni mwenye kujitambua,ameukataa uteuzi ule.
Diwani ana uzoefu na serikali zaidi ya Nne za CCM.

Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!

Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!

Diwani sio Kabudi au Lukuvi!

Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....

Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!

Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.

Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!

Diwani sio wa kubezwa!
Diwani anastahili kupewa ulinzi kwa usalama wake!

Kitendo cha kuikataa safe house,ina maana amekataa ku surrender mawasiliano yake yote.
Ili kuanza kutumia mapya ya Safe House!

Na mengi bado yanakuja,maana kadri inavyonyesha,ndio matobo yanavyozidi kuonekana.

"Rais Samia atengua uteuzi wa Diwani Athumani"

By Bakari Kiango
(Mwananchinewspaper)
Alhamisi,05/01/2023.

Dar es Salaam.

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Ikulu, Kamishna Diwani Athumani uliodumu kwa siku mbili baada ya kuteuliwa akitokea Idara ya Usalama TISS.

Kamishna Diwani aliteuliwa Januari 3, 2023 kuwa Katibu Mkuu wa Ikulu, akitokea katika wadhifa wa Mkurungezi Mkuu wa TISS, nafasi aliyohudumu kwa siku 1,210 tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli.

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Januari 5, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa nafasi ya Diwani imechukuliwa na Mululi Mahendeka aliyekuwa ofisa mwandimizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.

Alamsikhi
10101.
Mkuu

Hivi aliemshauri Hii move ni Nani!?

Aliemwambia toa diwani weka pale ana MALENGO gani haswa KWA awamu HII!!?

Yaani Lengo lake ni kujenga au kubomoa!?

Na kama ni kujenga ni kujenga mtu au Taifa!?

Kuna mtu anamdanganya mwenye mamlaka Ili kuleta mogogoro Fulani KWA MASLAHI Binafsi!!

Au ndio system inamchezesha michezo fulani MWENYE mamlaka na yeye anashindwa kuielewa!!?

Kwanza walimuingiza chaka kwenye kutangaza nia ya kugombea 2025,sasa wanamchanganyia mafaili kwenye uteuzi yaani teua tengua!!


Kuna mtu anafunga magoli dakika ya 90 halafu haonekani!!

Hivi niguse ninuke Yuko WAPI!!?

Simuoni siku hizi mitandaoni!
 
Mkuu

Hivi aliemshauri Hii move ni Nani!?

Aliemwambia toa diwani weka pale ana MALENGO gani haswa KWA awamu HII!!?

Yaani Lengo lake ni kujenga au kubomoa!?

Na kama ni kujenga ni kujenga mtu au Taifa!?

Kuna mtu anamdanganya mwenye mamlaka Ili kuleta mogogoro Fulani KWA MASLAHI Binafsi!!

Au ndio system inamchezesha michezo fulani MWENYE mamlaka na yeye anashindwa kuielewa!!?

Kwanza walimuingiza chaka kwenye kutangaza nia ya kugombea 2025,sasa wanamchanganyia mafaili kwenye uteuzi yaani teua tengua!!


Kuna mtu anafunga magoli dakika ya 90 halafu haonekani!!

Hivi niguse ninuke Yuko WAPI!!?

Simuoni siku hizi mitandaoni!
Kiuhalisia kuna kundi liko TISS linalomuingiza chaka mteuzi.

Kwanza kiutaratibu,alipaswa kumstaafisha kisha ndio ampatie uteuzi.

Halafu kiuhalisia hawa maafisa wa ngazi hiyo,huwa wanaishia kupelekwa ubalozini.

Hii maana yake ni kuwa Disconnect na mfumo.

Na kwa wale ambao huwa wamestaafu kisheria,huwa bado wanakuwa karibu na kitengovkama washauri.

Hata wateuzi mara nyingi hiwatumia pale wanapotaka kufanya verification ya jambo fulani nyeti.

Sasa mama yeye anatengua kwa nia fulani,halafu anakupeleka Ikulu ili utazamwe 24×7.

Huyu amelitambua hilo,na hii itamsumbua sana kichwa mteuzi.
 
Mamba anatisha akiwa ndani ya maji, nje ya maji màmba ni sawa na mjusi tu.

Saa hizi ukimkuta Diwani Athman hata ukimtemea mate anaweza kukuomba wewe msamaha.

Mtoa mada umem over estimate Diwani bila sababu, I assure you he is nobody in this country.
Kwa sababu wengi wenu huwa mnawaza ndani ya Box...siwezi kukulaumu.

Ila sidhani kama unaelewa idadi ya vikao haramu,vinavyoitishwa mahoteli makubwa makubwa kila siku,wakati wengine tumelala!

Wewe unadhani unailelewa mitandao yote nchi hii?
 
Suala la peter wa royal tour, halihusiki kweli?
Kutenguliwa balozi wa USA, na yeye kuondolewa kwake madarakani, huenda walishindwa kumpa mama siri na malengo halisi ya peter!
Nchi ngumu sana hii.
Maswali ni mengi kuliko majibu
Hilo nalo neno!
Ila pia ujiulize balozi wetu nchini Austria kufariki kwa ajali akiwa anajiendesha mwenyewe!
 
Ameukataa uteuzi na sio kutenguliwa!
Niliandika hapa juzi!Iweje Mkurugenzi TISS kupelekwa Ikulu!
Diwani ni mwenye kujitambua,ameukataa uteuzi ule.
Diwani ana uzoefu na serikali zaidi ya Nne za CCM.

Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!

Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!

Diwani sio Kabudi au Lukuvi!

Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....

Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!

Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.

Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!

Diwani sio wa kubezwa!
Diwani anastahili kupewa ulinzi kwa usalama wake!

Kitendo cha kuikataa safe house,ina maana amekataa ku surrender mawasiliano yake yote.
Ili kuanza kutumia mapya ya Safe House!

Na mengi bado yanakuja,maana kadri inavyonyesha,ndio matobo yanavyozidi kuonekana.

"Rais Samia atengua uteuzi wa Diwani Athumani"

By Bakari Kiango
(Mwananchinewspaper)
Alhamisi,05/01/2023.

Dar es Salaam.

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Ikulu, Kamishna Diwani Athumani uliodumu kwa siku mbili baada ya kuteuliwa akitokea Idara ya Usalama TISS.

Kamishna Diwani aliteuliwa Januari 3, 2023 kuwa Katibu Mkuu wa Ikulu, akitokea katika wadhifa wa Mkurungezi Mkuu wa TISS, nafasi aliyohudumu kwa siku 1,210 tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli.

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Januari 5, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa nafasi ya Diwani imechukuliwa na Mululi Mahendeka aliyekuwa ofisa mwandimizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.

Alamsikhi
10101.
Unajua maana ya safe house unaokotaokota vimaneno mtandaoni na kutungia stori
 
Ameukataa uteuzi na sio kutenguliwa!
Niliandika hapa juzi!Iweje Mkurugenzi TISS kupelekwa Ikulu!
Diwani ni mwenye kujitambua,ameukataa uteuzi ule.
Diwani ana uzoefu na serikali zaidi ya Nne za CCM.

Diwani ni afisa aliehudumu idara mchanganyiko za nchi hii kwa kiwango cha juu!

Diwani anaijua michezo yote ya CCM na magenge yake!

Diwani sio Kabudi au Lukuvi!

Diwani ndie afisa mwenye siri nzito za kilichojiri kati ya serikali hizi mbili .....

Serikali ya Magufuli na hii ya Samia!

Pia ieleweke yeye ndie alikuwa madarakani wakati JPM anafariki Dunia.

Yote yaliyojiri katikati hapo...
Ni Diwani ndie anaeyajua!

Diwani sio wa kubezwa!
Diwani anastahili kupewa ulinzi kwa usalama wake!

Kitendo cha kuikataa safe house,ina maana amekataa ku surrender mawasiliano yake yote.
Ili kuanza kutumia mapya ya Safe House!

Na mengi bado yanakuja,maana kadri inavyonyesha,ndio matobo yanavyozidi kuonekana.

"Rais Samia atengua uteuzi wa Diwani Athumani"

By Bakari Kiango
(Mwananchinewspaper)
Alhamisi,05/01/2023.

Dar es Salaam.

Rais Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Katibu Mkuu wa Ikulu, Kamishna Diwani Athumani uliodumu kwa siku mbili baada ya kuteuliwa akitokea Idara ya Usalama TISS.

Kamishna Diwani aliteuliwa Januari 3, 2023 kuwa Katibu Mkuu wa Ikulu, akitokea katika wadhifa wa Mkurungezi Mkuu wa TISS, nafasi aliyohudumu kwa siku 1,210 tangu alipoteuliwa na Rais wa awamu ya tano, Hayati John Magufuli.

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi Januari 5, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imeeleza kuwa nafasi ya Diwani imechukuliwa na Mululi Mahendeka aliyekuwa ofisa mwandimizi wa Ofisi ya Rais, Ikulu.

Alamsikhi
10101.
Hizo hisia zako tu na uzushi hakuna mwenye ubavu wa kukata uteuzi wa rais. Mkurugenzi wa usalama wa taifa ni mtu mdogo sana hawezi kuwa hata tone ndani ya maji ya bahari. Hii nchi ni zaidi ya mtu awaye yote. Vilevile kumbuka rais ni mtu mkubwa sana nchi hii kwa mujibu wa katiba na hawezi kutishwa wala kukwamisha na limkuu wa idara moja ndani ya nchi yenye idara nyingi. Rais ni amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama, we mkuu wa idara moja tu ya usalama utatoa wapi kiburi? Hizo ni hisia zako tu rais anasimamia nchi yenye makomandoo na vyombo vingine vya siri. Sijui kama unaweza kukumbuka issue ya Imrani Kombe aliyekuwa naye mkurugenzi wa usalama wa Taifa. Alitaka kutumia uchaga wake kumsaidi mchaga mwenzake Mrema apate urais alichinjwa mchana kweupe.

Hakuna anayeweza kukataa uteuzi wa Rais, ni majuzi tu aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi Jenerali Venance Silvatory Mabeyo aliteuliwa baada tu ya kustaafu na hakukataa. Kwanza utaanzaje kukataa jambo la rais? Basi itakuwa hiyo nafasi aliipata isivyostahili, wale wanatakiwa wawe na utii wa hali ya juu usiotiwa shaka ya aina yoyote ndugu. Acha kumnenea uwongo.
 
Kukataa uteuzi wa Rais anajiweka ktk hatari kubwa sana, nakwakatiba hii ilivyompa Rais mamlaka wanaweza mchomekea kesi nzito akafie gereza la ukonga
Siyo rahisi kiivyo..

Unahisi Diwani anachukiwa na kila mtu, huko huko idarani na nje ya idarani CHAWA wake hawakosekani..

Pia kumpa kesi mtu kama diwani, yule siyo kama Freeman Mbowe au Lissu.
 
Kama aliweza kushughulikiwa Lt Gen Imran... atakuwa Kamishna wa Polisi
Kama ilikuwa collective responsibility ni rahisi Sana ukiwazacho!

Lakini kama system into blocks and divided into emotions hard to happen na kama it happen it will bring chaos in the system !!

Kiasi Kwamba hata chupi za chumbani za baba na Mama zitaletwa sebuleni for the kids to see!!

Personal view after digestion of the stuff!
 
Hizo hisia zako tu na uzushi hakuna mwenye ubavu wa kukata uteuzi wa rais. Mkurugenzi wa usalama wa taifa ni mtu mdogo sana hawezi kuwa hata tone ndani ya maji ya bahari. Hii nchi ni zaidi ya mtu awaye yote. Vilevile kumbuka rais ni mtu mkubwa sana nchi hii kwa mujibu wa katiba na hawezi kutishwa wala kukwamisha na limkuu wa idara moja ndani ya nchi yenye idara nyingi. Rais ni amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama, we mkuu wa idara moja tu ya usalama utatoa wapi kiburi? Hizo ni hisia zako tu rais anasimamia nchi yenye makomandoo na vyombo vingine vya siri. Sijui kama unaweza kukumbuka issue ya Imrani Kombe aliyekuwa naye mkurugenzi wa usalama wa Taifa. Alitaka kutumia uchaga wake kumsaidi mchaga mwenzake Mrema apate urais alichinjwa mchana kweupe.

Hakuna anayeweza kukataa uteuzi wa Rais, ni majuzi tu aliyekuwa mkuu wa majeshi ya ulinzi Jenerali Venance Silvatory Mabeyo aliteuliwa baada tu ya kustaafu na hakukataa. Kwanza utaanzaje kukataa jambo la rais? Basi itakuwa hiyo nafasi aliipata isivyostahili, wale wanatakiwa wawe na utii wa hali ya juu usiotiwa shaka ya aina yoyote ndugu. Acha kumnenea uwongo.
Kukataa uteuzi siyo kumtunishia misuli Rais!

Kuukataa uteuzi ni haki ya kikatiba!

Kuteuliwa huwa sio amri bali utashi.

Hata Raphael Chegeni aliukataa uteuzi.

Hata aliewahi kuwa mkuu wa mkoa wa mwanza aliwahi kuukataa uteuzi wa JPM.

Halafu uelewe kwamba sio kila mtu yuko individual.

Watu huitana vikao kabla ya maamuzi kama hayo!

Usijenge dhana isiyokuwepo.
 
Back
Top Bottom