Diwani Isaya Doita aliyemtuhumu Godbless Lema afukuzwa Uanachama

Akili maandazi sio tusi. Kuhusu kusema,yeye ni diwani anapo pa kuzungimzia yote ya moyoni hivyo kuja kusemea kwenye press ni uhuni ili ufukuzwe upate milage ya kisiasa.
Huku mtaani ni kwa wale wasio na vikao rasmi vya kuzungumzia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barua ya kufukuzwa (iliyoandikwa na Katibu Kata wake) imetoka baada ya video ya yeye kuwasema vibaya viongozi wa Chadema Arusha ( hakumsema Lema peke yake) kusambaa kwenye social media. Sasa mtu yeyote ataviunganisha hivyo vitu. Kama kuna sababu nyingine basi waliomfukuza wataweza kuitoa. Mimi sio mwanachama wa Chadema kwa hiyo siwezi kujua kwa uhakika kama aliwahi kuwasilisha tuhuma zake kwenye vikao vya kilichokuwa chama chake. Labda wewe utuambie. Kufukuzana ovyo ndiko kulikoonyesha kuwa CUF kuna matatizo. Nisingependa Chadema nao watumbukie huko huko. Lakini mwenye macho haambiwi tazama.

Amandla.......
 
Mimi huwa nawambia chadema mambo ya demokrasia ni magumu sana ni rahisi kuongea mdomoni lakini kuitenda ikawa ngumu kidogo!

Yani mtu katoa tuhuma leo na kesho kafukuzwa hahaha hivi chadema mlikaa saa ngapi kumjadili huyo mtu hahahaha


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Taratibu za kukosoana ziko kikatiba na zinapaswa kufuatwa.
Hivi huko ccm kiongozi mmoja anaweza itisha press na kumtuhumu wa juu yake badala ya vikao?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahaha ziko kikatiba gani hahahaha kwanini Lema hakufukuzwa alipo mkosoa Lowasa mitandaoni? Hahahaha


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hahahaha hivi chadema kweli mgeweza kumvumilia mtu kama Membe hadi leo hahahahaha hakika CCM ni baba wa demokrasia


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Kwa hiyo " akili maandazi" ni sifa nzuri?
Kwa kujua kuwa anatafuta ujiko wa siasa ndio mkaone heri mumpe ujiko huo!

Amandla.......
 
CDM yangu sijui imepatwa na nini kwani Lema ni Mungu asituhumiwe? CDM inazidi kuondoka kwenye lengo na hii ni furaha na shangwe kwa mahasimu wetu....
Walipomkaribisha Lowassa ambaye walituaminisha ni fisadi papa kwa zaidi ya miaka 8 na kuanza kumuimbia mapambio ya Lowassa Mabadiliko, wenye fikra kubwa tulijua CHADEMA imepoteza dira/malengo!

Haya yanayotokea kwa sasa ni mwendelezo wake!
 
Makosa ya Kangi ni yapi?
 
Viongozi wengi wa kisiasa hasa katika vyama vyetu vya upinzani hawana busara!
 
Hawawezi kukuelewa kwa sababu ni kati ya kundi ambalo political blind follower!
 
CHADEMA hakuna njia nyingine zaidi ya kutimuana, hata vikao vya majadiliano hakuna... Kwa nini msiwe mnajipa nafasi kabla ya kutimuana.!!

Mkuu hii Avator yako inanikumbusha pale tulipomweka pembeni mpambanaji na kumkumbatia Fisadi...
 
Jamani mbona Diwani alikuwa anawaambia ukweli viongozi wake, kumbe hawapendi kuambiwa ukweli ila wao wanapenda kuwaambia wengine ukweli, hakuna demokrasia hapo bali ni changa la macho tu. Chadema kama FIFA ukipeleka kesi Mahakamani kukishitaki chama basi wewe si mwanachama tena, kuna demokrasia hapo...!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…