Diwani wa Chadema akamatwa na Bunduki

Diwani wa Chadema akamatwa na Bunduki

muhosni

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
1,108
Reaction score
152
Channel ten wametangaza katika taarifa ya habari asubuhi hii.

Mkuu wa mkoa wa Mara amemkamata diwani wa Chadema katika kata moja wilayani Serengeti akiwa anamiliki bunduki AK47 kinyume na sheria. Alikiri kwamba yeye na ndugu zake wamekuwa wakimiliki

Alichukuliwa kutoka kikao cha madiwani akahojiwa na kukiri. Kisha akawapeleka kwenda kuwaonesha mahali alipoifukia

Sielewi ni vipi wengine wanakimbilia kufikiri inahusishwa na chama chake.

Amesikika kwenye tv akihojiwa na mkuu wa mkoa akakiri kwamba anamiliki silaha aliyopewa na "jamaa mmoja". Kisha akaongoza msafara wa mkuu wa mkoa kwenda kuifukua

Baadaye akasikika anaomba msamaha kwa wanakijiji wenzake

Swali langu ni kwa nini kazi ya upelelezi na interrogation ifanywe na mkuu wa mkoa . Kisha kwa nini tv zialikwe kuanzia kumkamata, kumhoji, kukubali kwake, na kwenda kuifukua

Kwangu mimi ilikuwa kama natazama igizo badala ya habari. Hasa RC alipokuwa ana act kama Rambo na vile alivyokuwa anasifiwa na mleta habari - Mabere Makubi
 
.......Ni mtanzania wa kawaida kwahiyo hayo ni makosa binafsi yasiusishwe na chama.....cha msingi uchunguzi utafanyika tutajua ukweli..tusubiri...
 
Kama ni kweli, hilo ni kosa la huyo Mh. Diwani kama yeye. Kwa vyovyote vile hilo kosa halina uhusiano na dhehebu lake la dini au itikadi yake katika chama chochote.

Tuache ushabiki, tusimamie ukweli penye ukweli.
 
Channel ten wametangaza katika taarifa ya habari asubuhi hii.

Mkuu wa mkoa wa Mara amemkamata diwani wa Chadema katika kata moja wilayani Serengeti akiwa anamiliki bunduki AK47 kinyume na sheria. Alikiri kwamba yeye na ndugu zake wamekuwa wakimiliki

Alichukuliwa kutoka kikao cha madiwani akahojiwa na kukiri. Kisha akawapeleka kwenda kuwaonesha mahali alipoifukia
Sasa alikuwa ameifukia ili iweje, au hajui sisi huku Arusha tunatawaliwa kimabavu....
 
Kama ni kweli, hilo ni kosa la huyo Mh. Diwani kama yeye. Kwa vyovyote vile hilo kosa halina uhusiano na dhehebu lake la dini au itikadi yake katika chama chochote.

Tuache ushabiki, tusimamie ukweli penye ukweli.

and why do u associate chenge,lowasa and rostam with cccm?? bogus kabisa wewe
 
Sielewi ni vipi wengine wanakimbilia kufikiri inahusishwa na chama chake.

Amesikika kwenye tv akihojiwa na mkuu wa mkoa akakiri kwamba anamiliki silaha aliyopewa na "jamaa mmoja". Kisha akaongoza msafara wa mkuu wa mkoa kwenda kuifukua

Baadaye akasikika anaomba msamaha kwa wanakijiji wenzake

Swali langu ni kwa nini kazi ya upelelezi na interrogation ifanywe na mkuu wa mkoa . Kisha kwa nini tv zialikwe kuanzia kumkamata, kumhoji, kukubali kwake, na kwenda kuifukua

Kwangu mimi ilikuwa kama natazama igizo badala ya habari. Hasa RC alipokuwa ana act kama Rambo na vile alivyokuwa anasifiwa na mleta habari - Mabere Makubi
 
Sielewi ni vipi wengine wanakimbilia kufikiri inahusishwa na chama chake.

Amesikika kwenye tv akihojiwa na mkuu wa mkoa akakiri kwamba anamiliki silaha aliyopewa na "jamaa mmoja". Kisha akaongoza msafara wa mkuu wa mkoa kwenda kuifukua

Baadaye akasikika anaomba msamaha kwa wanakijiji wenzake

Swali langu ni kwa nini kazi ya upelelezi na interrogation ifanywe na mkuu wa mkoa . Kisha kwa nini tv zialikwe kuanzia kumkamata, kumhoji, kukubali kwake, na kwenda kuifukua

Kwangu mimi ilikuwa kama natazama igizo badala ya habari. Hasa RC alipokuwa ana act kama Rambo na vile alivyokuwa anasifiwa na mleta habari - Mabere Makubi

Hapo lazima kuna kitu Ccm wamefanya, lazima!!
Duh kuwa mwanachadema raha, yaani unapata excuse kwa kila kosa, ukisababisha watu wauawe ni kosa la Ccm kuchakachua, kukamatwa na silaha ni sisiem wamepanga njama, kiongozi kuhamia Ccm ni mafisadi wamemhonga.
Halafu yakifika shingoni dawa ni kumkana tu. "Ni mwananchi mhalifu tu huyo haihusiani na Chadema" which is true, sema tatizo hiyo busara hujitokeza pindi Mchadema anapolitinginya tu. Siyo Msisiem...
 
huyo walimseti hata kama angekuwa mwizi wa kweli asingejirahisisha kiasi icho na kuionyesha haraka, yote kwa yote ningefurai kama angetuletea huku arusha ssiku ile ya maabomu:alien:
 
Sioni jipya hapa kukamatwa na silaha hakuna usiano na siasa. Kama anamiliki silaha kimakosa sheria itachukua mkondo wake na wala hakuna haja ya kumhusicha na CHADEMA.
 
Back
Top Bottom