Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

USHAURI
Mkiisha maliza mkesha wa vigodoro, kakae nao 'wenzio' haraka, mjipange namna ya kuokoteza 'vielelezo' ili mpate cha kupeleka POLICCM, TAKUKURU, maana wimbo huu unachachuka kwa kasi kama ya rungu alilotumia Ndungai kumpiga mgombea mwenzie Chilon...
 
Tumechoshwa sasa.nchi nzima siyo serikali wala CCM na vibaraka wao kila mtu mbowe hivi mbowe vile.anaongelewa utadhani yeye ndio raisi wa nchi.ebo
 
Acha upumbavu
Nasikitika sana kuona vijana wasomi hamuwezi kujenga hoja za kimaendeleo munaishia kwenye upumbavu na ujinga ili mpate huruma za wanasiasa.
Wengi mbona tumejiajiri hatutegemei siasa na maisha yanaendelea kwanini mnajidharirisha hivi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUMEKUCHOKA HUNA JIPYA ZAIDI YA KULALAMIKA HAKUNA HATA USHAIDI
 
Mkuu hivi wewe ni nani?
 
Kama mpaka mda huu haujahijiwa ntashangaa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu hoja badala ya kupinga bila hoja!
 
Lijuakali kafanya hiyo ili kumchafua mbowe
 
Mtoto wa kiume ukilala Mbowe,ukiamka Mbowe.
 
Jibu hoja yake!
 
Kweli hakuna kitu kibaya kama kuutafuta ukubwa. Dah! Sasa hata hofu ya Mungu haiko tena mioyoni mwa watu. Hivi mwanaume inakuwaje tukosane halafu nikutafutie kila nyongo iwezayo kukuua? ;
Kweli serekali hii nzuri namna hii tunaruhusu watu kujilipukia watakavyo kuhusu ushahidi mkubwa tu wa jinai halafu tunanyamaza? ? Sawa, yawezekana kuwa tunaruhusu hivyo ili kuvuruga sifa za watu fulani ila, is it good when it is done at the cost of belittling the government? ? Noo man, I say nooo.;M;
Hayo yaliyotendwa b na serekali hii chini ya uongozi wa JPM yanatosha kumthibitisha hata kwa kipofu msese. Hatuhitaji majitu yenye kiu ya kilipiza visasi kutusaidia. Aende zake na fitina zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…