Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

Lissu ashambuliwe na Mbowe Dodoma kweupe halafu serikali isitake advantage. Ben saanane hivyo hivyo. Unapohadithia habari mpya usijeingizia Na habari ambazo watu sio ngeni kwao. Kuaminika kwa habari mpya kunategemea sana Na usahihi wa habari za zamani ambazo wapokea taarifa wanazo.
 
Acha ujinga wewe kote duniani watu wanauwawa na vyombo vya ulinzi vipo sana tu tena vyenye kila kitu. Hapa jiandae wewe na mmeo kujibu tuhuma
Wakati Mbowe anafanya yote haya..Usalama wa taifa na polisi wako wapi Kama Ni hivyo basi Ni rahisi kwa mtu yeyote kufanya chochote Tanzania bila Usalama Wala polisi kujua..na hii itakuwa nchi ya ajabu kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ambavyo wamesema Lijualikali na Waitara kuhusu Mbowe kuiba fedha na kwenda kufanya kilimo huko Ifakara. Mbowe alifanya kazi hiyo kwa Mgongo wa Diwani mmoja huko Ifakara jina silikumbuki vizuri.

Ila Diwani huyo alishambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana. Taarifa nilizozipata wakati huo kutoka kwa viongozi wa juu ndani ya CHADEMA ni kuwa huenda Diwani huyo aliuawa kwasababu za kimaslahi kuhusu mambo ya mashamba na kilimo aliyofanya na Mbowe. Sikuandika kwasababu sikuwa na taarifa za ndani kuhusu mradi huo maana Wabunge hawa walificha hizi taarifa.

Ila niliwahi kuandika kuhusu hisia zangu za Mbowe kuhusika na upotevu wa Ben Saanane na Shambulio la Tundu Lissu. Mods mnaweza kunisaidia kuunganisha Uzi ule. Magazeti yaliandika habari hii.

Sasa zipo hisia kubwa kutoka kwa viongozi ndani ya Chama kuwa Mbowe alihusika na shambulio la Diwani yule kwasababu za kimaslahi.

Vyombo husika vifuatilie mwangwi huu!

Kwa tunaomjua Mbowe tunajua anaweza kufanya lolote almradi kulinda maslahi yake. Zitto kama hatakuwa mnafiki atakiri hadharani kuwa alishawahi kukatiwa breki za gari lake wakati fulani. Pia alitaka kuwekewa sumu na Ben Saanane.

Ben Saanane tukiwa nae Mabibo External kwenye Bar moja kubwa pale opposite na kanisa la KKKT baada ya kuondolewa Makao Makuu ya CHADEMA aliniambia kwa mdomo wake kuwa amemwambia Mbowe kuwa kama atabariki yeye kuondolewa Ben Saanane kuondolewa pale Makao makuu basi atajua atakavyojitetea maana wamefanya mengi yeye na Mbowe hivyo Mbowe anapaswa kumlinda. Jibu la Mbowe kwa Ben Saanane lilikuwa " UNANITISHA? Tuonane wiki ijayo" Alipoenda wiki ijayo akapewa cheo ambacho hakipo kwenye Katiba wala muundo wa Chama cha MSAIDIZI WA MWENYEKITI MAKAO MAKUU. alifanya kazi miezi miwili tu.

Nakumbuka alitumwa Hai na baadae Afrika Kusini. Aliporudi Afrika Kusini akiwa airport aliwasiliana na watu wawili kuwa amerudi baada ya hapo hajaonekana tena mpaka leo. Kwa tuliokuwa Makao Makuu mahusiano ya Mbowe na Saanane hayakuwa mazuri tena tangu Zitto aondoke CHADEMA maana siri nyingi zilivuja na hivyo Mbowe akawa anamkataa Saanane ili asichafuke. Mbowe anatumia mtu halafu anamkataa.

Alimtumia Zitto dhidi ya Chacha Wangwe akamkataa, Akamtumia Slaa na akina Saanane akawakataa, akawatumia Komu na Lwakatare dhidi ya Slaa leo amewakataa. Nasubiri anguko la Lissu baada ya Shambulio kufeli.

Muda unanisaidia sana. Ndio maana nasemaga JINI LINAWALA WAFUGA JINI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni mbowe ndie anahusika kwann Sasa ccm wamemzuia Mbowe asiwaletee wachunguzi wa kimataifa.?
 
Unaendelea na upuuzi wako kama kawaida yako, ukiambiwa upeleke ushahidi wa tuhuma zako panapostahili utaweza? au unadhani ushahidi ni huo umbea ulioandika hapo juu?

Tafuta kazi ya maana ufanye, wacha kuhangaikia maisha ya wengine, mental slavery ni utumwa mbaya zaidi ya wote hapa duniani, so emanticipate yourself myfriend.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ya kutafuta ushahidi sio yangu wapo wataalam. Mimi ninasaidia uchunguzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ambavyo wamesema Lijualikali na Waitara kuhusu Mbowe kuiba fedha na kwenda kufanya kilimo huko Ifakara. Mbowe alifanya kazi hiyo kwa Mgongo wa Diwani mmoja huko Ifakara jina silikumbuki vizuri.

Ila Diwani huyo alishambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana. Taarifa nilizozipata wakati huo kutoka kwa viongozi wa juu ndani ya CHADEMA ni kuwa huenda Diwani huyo aliuawa kwasababu za kimaslahi kuhusu mambo ya mashamba na kilimo aliyofanya na Mbowe. Sikuandika kwasababu sikuwa na taarifa za ndani kuhusu mradi huo maana Wabunge hawa walificha hizi taarifa.

Ila niliwahi kuandika kuhusu hisia zangu za Mbowe kuhusika na upotevu wa Ben Saanane na Shambulio la Tundu Lissu. Mods mnaweza kunisaidia kuunganisha Uzi ule. Magazeti yaliandika habari hii.

Sasa zipo hisia kubwa kutoka kwa viongozi ndani ya Chama kuwa Mbowe alihusika na shambulio la Diwani yule kwasababu za kimaslahi.

Vyombo husika vifuatilie mwangwi huu!

Kwa tunaomjua Mbowe tunajua anaweza kufanya lolote almradi kulinda maslahi yake. Zitto kama hatakuwa mnafiki atakiri hadharani kuwa alishawahi kukatiwa breki za gari lake wakati fulani. Pia alitaka kuwekewa sumu na Ben Saanane.

Ben Saanane tukiwa nae Mabibo External kwenye Bar moja kubwa pale opposite na kanisa la KKKT baada ya kuondolewa Makao Makuu ya CHADEMA aliniambia kwa mdomo wake kuwa amemwambia Mbowe kuwa kama atabariki yeye kuondolewa Ben Saanane kuondolewa pale Makao makuu basi atajua atakavyojitetea maana wamefanya mengi yeye na Mbowe hivyo Mbowe anapaswa kumlinda. Jibu la Mbowe kwa Ben Saanane lilikuwa " UNANITISHA? Tuonane wiki ijayo" Alipoenda wiki ijayo akapewa cheo ambacho hakipo kwenye Katiba wala muundo wa Chama cha MSAIDIZI WA MWENYEKITI MAKAO MAKUU. alifanya kazi miezi miwili tu.

Nakumbuka alitumwa Hai na baadae Afrika Kusini. Aliporudi Afrika Kusini akiwa airport aliwasiliana na watu wawili kuwa amerudi baada ya hapo hajaonekana tena mpaka leo. Kwa tuliokuwa Makao Makuu mahusiano ya Mbowe na Saanane hayakuwa mazuri tena tangu Zitto aondoke CHADEMA maana siri nyingi zilivuja na hivyo Mbowe akawa anamkataa Saanane ili asichafuke. Mbowe anatumia mtu halafu anamkataa.

Alimtumia Zitto dhidi ya Chacha Wangwe akamkataa, Akamtumia Slaa na akina Saanane akawakataa, akawatumia Komu na Lwakatare dhidi ya Slaa leo amewakataa. Nasubiri anguko la Lissu baada ya Shambulio kufeli.

Muda unanisaidia sana. Ndio maana nasemaga JINI LINAWALA WAFUGA JINI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshawahi yapeleka tuhuma hizi kwenye vyombo vya uchunguzi ndani,ili iwasaidie kummaliza mbowe maana for 5 yrs wametumia mbinu zote wameshindwa pa kumpatia kwann usiwape ushahidi huu
 
Mbowe kama aliuwa malipo ndio haya anapata

Sent using Jamii Forums mobile app
hapana mkuu,ndugu za hawa waliopotezwa wanalia kwa uchungu sana.ifike wakati watu wa haki za binadamu waonekane wakikemea mambo kama haya.

mbowe damu za hawa marehemu(kalma) zitazisakama kizazi chake milele.mbowe mwisho wake utakuwa mbaya sana kwa maovu anayowafanyia wenzie.mungu yupo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga wewe kote duniani watu wanauwawa na vyombo vya ulinzi vipo sana tu tena vyenye kila kitu. Hapa jiandae wewe na mmeo kujibu tuhuma

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu matusi Moderator wanajua Cha kufanya
Kuhusu mjadala..Kama wewe wa kijijini umejua mbowe anaua watu..Usalama na polisi wanashindwaje kujua..jibu swali bila matusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaendelea na upuuzi wako kama kawaida yako, ukiambiwa upeleke ushahidi wa tuhuma zako panapostahili utaweza? au unadhani ushahidi ni huo umbea ulioandika hapo juu?

Tafuta kazi ya maana ufanye, wacha kuhangaikia maisha ya wengine, mental slavery ni utumwa mbaya zaidi ya wote hapa duniani, so emanticipate yourself myfriend.

Sent using Jamii Forums mobile app
Msomi mzima anategemea buku 7
 
Back
Top Bottom