Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lisu alisema na mbowe ahojiwe Ben muulizeLissu ashambuliwe na Mbowe Dodoma kweupe halafu serikali isitake advantage. Ben saanane hivyo hivyo. Unapohadithia habari mpya usijeingizia Na habari ambazo watu sio ngeni kwao. Kuaminika kwa habari mpya kunategemea sana Na usahihi wa habari za zamani ambazo wapokea taarifa wanazo.
Hizo tuhuma angezipeleka polis Kama ana uhakika nazo
Sio kweli! Ni muda mrefu sana baadae. Kosa lake kama la Lissu alikuwa na maadui wawiliKila mtu anafahamu kuwa Ben Saanane alipotea muda mfupi tu baada ya kuhoji uhalali wa Phd ya maganda ya korosho
Mbowe ataunganishwa na wengineMbowe hawez mjibu yeye aende mahakamani mtu hawez fanya umafia akaendelea kukaa mtaani
Tangu lini aliwahi kuwa na heshima? Huyo alifukuzwa cdm kwa wizi wa fedha za chamaMkuu unonekana kuwa na taarifa nyeti na muhimu sana, nakushauri uzipeleke polisi ili zisaidie kumuwajibisha mbowe. Na kama huwezi basi achana na ngonjera zako. Unajishushia hadhi yako mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetetea nini. Bandiko lako hata wanaojadili hawajalisoma vizuri. Umeandika kuwa ni hisi zako tu. Sasa kama ni hisi kwa nini tujadili hisi za mtu?Je wewe mtetezi huna jambo binafsi na Mbowe?
Mleteni dereva wa lisu kazi ianzeKama ni mbowe ndie anahusika kwann Sasa ccm wamemzuia Mbowe asiwaletee wachunguzi wa kimataifa.?
Mbowe ameshika record mtu anaeongelewa Mara nyingi Tanzania kulipo ata raisi wa inchi.
Big up Mbowe.
Ukishirikisha akili utaona kitu kwa mleta hojaHizi ni propaganda za kipumbavu na za kipuuzi Tz ina chagamoto nyingi zaidi ya Mbowe nguvu mnazo elekeza kwa kimshusha mbowe mgeziweka kwenye masuala yanayo saidia taifa sio chama, corona ipo maleria ipo elimu bado mbovu sector ya afya ina shida kubwa mnatuletea propaganda za mbowe kila wakati watu ni wale wale....tumechoka tunahitaji national issues plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshawahi yapeleka tuhuma hizi kwenye vyombo vya uchunguzi ndani,ili iwasaidie kummaliza mbowe maana for 5 yrs wametumia mbinu zote wameshindwa pa kumpatia kwann usiwape ushahidi huu
Anzeni na Askari waliokuwa zamu getini
Benson Mramba yaani unaandika mambo ya kijinga tena kwa werevu wa wapumbavu. Ni kama vile una jambo binafsi na Mbowe!
Mbowe talipa kwa hilihapana mkuu,ndugu za hawa waliopotezwa wanalia kwa uchungu sana.ifike wakati watu wa haki za binadamu waonekane wakikemea mambo kama haya.
mbowe damu za hawa marehemu(kalma) zitazisakama kizazi chake milele.mbowe mwisho wake utakuwa mbaya sana kwa maovu anayowafanyia wenzie.mungu yupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yote tisa kumi tuanitaji kuona viwanda elfu nne bila kusahau mil 50 kila kijiji.
Ili kuhalalisha uongo wako
Duh ,Mbowe an adulterer and a killer, tutamvumilia mpaka lini huyu? Serikali ichukue hatua na imutie nguvuni Mara moja .
Kama taifa tutakuwa watu wa ajabu sana kumuacha muuaji na mzinzi mkubwa akipunga upepo uraiani kwa mgongo wa uenyekiti wa chama kinachoendekeza mauaji kwa raia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna tusi hapo ujinga sio tusi. Jiandae kujibuKuhusu matusi Moderator wanajua Cha kufanya
Kuhusu mjadala..Kama wewe wa kijijini umejua mbowe anaua watu..Usalama na polisi wanashindwaje kujua..jibu swali bila matusi
Sent using Jamii Forums mobile app