Waache habar za hisia asee. Mbowe akifanya ujinga ni lazima ukweli usemwe, siyo kupindisha tu. Haiwezekani watu wakukimbie halafu bado uwe sawa. There must be something wrong in him.
Wewe ni mjinga kwasababu hujui hata kesi ya jinai inaanzia wapi?Mbowe hawez mjibu yeye aende mahakamani mtu hawez fanya umafia akaendelea kukaa mtaani
Kwani hao waliotoka wamemkimbia Mbowe? Wanamkimbiaje Mbowe??Waache habar za hisia asee. Mbowe akifanya ujinga ni lazima ukweli usemwe, siyo kupindisha tu. Haiwezekani watu wakukimbie halafu bado uwe sawa. There must be something wrong in him.
Mbowe aliuwa wengi sana kama ndio hivi afungwe nchi itulieWaache habar za hisia asee. Mbowe akifanya ujinga ni lazima ukweli usemwe, siyo kupindisha tu. Haiwezekani watu wakukimbie halafu bado uwe sawa. There must be something wrong in him.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ambavyo wamesema Lijualikali na Waitara kuhusu Mbowe kuiba fedha na kwenda kufanya kilimo huko Ifakara. Mbowe alifanya kazi hiyo kwa Mgongo wa Diwani mmoja huko Ifakara jina silikumbuki vizuri.
Ila Diwani huyo alishambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana. Taarifa nilizozipata wakati huo kutoka kwa viongozi wa juu ndani ya CHADEMA ni kuwa huenda Diwani huyo aliuawa kwasababu za kimaslahi kuhusu mambo ya mashamba na kilimo aliyofanya na Mbowe. Sikuandika kwasababu sikuwa na taarifa za ndani kuhusu mradi huo maana Wabunge hawa walificha hizi taarifa.
Ila niliwahi kuandika kuhusu hisia zangu za Mbowe kuhusika na upotevu wa Ben Saanane na Shambulio la Tundu Lissu. Mods mnaweza kunisaidia kuunganisha Uzi ule. Magazeti yaliandika habari hii.
Sasa zipo hisia kubwa kutoka kwa viongozi ndani ya Chama kuwa Mbowe alihusika na shambulio la Diwani yule kwasababu za kimaslahi.
Vyombo husika vifuatilie mwangwi huu!
Kwa tunaomjua Mbowe tunajua anaweza kufanya lolote almradi kulinda maslahi yake. Zitto kama hatakuwa mnafiki atakiri hadharani kuwa alishawahi kukatiwa breki za gari lake wakati fulani. Pia alitaka kuwekewa sumu na Ben Saanane.
Ben Saanane tukiwa nae Mabibo External kwenye Bar moja kubwa pale opposite na kanisa la KKKT baada ya kuondolewa Makao Makuu ya CHADEMA aliniambia kwa mdomo wake kuwa amemwambia Mbowe kuwa kama atabariki yeye kuondolewa Ben Saanane kuondolewa pale Makao makuu basi atajua atakavyojitetea maana wamefanya mengi yeye na Mbowe hivyo Mbowe anapaswa kumlinda. Jibu la Mbowe kwa Ben Saanane lilikuwa " UNANITISHA? Tuonane wiki ijayo" Alipoenda wiki ijayo akapewa cheo ambacho hakipo kwenye Katiba wala muundo wa Chama cha MSAIDIZI WA MWENYEKITI MAKAO MAKUU. alifanya kazi miezi miwili tu.
Nakumbuka alitumwa Hai na baadae Afrika Kusini. Aliporudi Afrika Kusini akiwa airport aliwasiliana na watu wawili kuwa amerudi baada ya hapo hajaonekana tena mpaka leo. Kwa tuliokuwa Makao Makuu mahusiano ya Mbowe na Saanane hayakuwa mazuri tena tangu Zitto aondoke CHADEMA maana siri nyingi zilivuja na hivyo Mbowe akawa anamkataa Saanane ili asichafuke. Mbowe anatumia mtu halafu anamkataa.
Alimtumia Zitto dhidi ya Chacha Wangwe akamkataa, Akamtumia Slaa na akina Saanane akawakataa, akawatumia Komu na Lwakatare dhidi ya Slaa leo amewakataa. Nasubiri anguko la Lissu baada ya Shambulio kufeli.
Muda unanisaidia sana. Ndio maana nasemaga JINI LINAWALA WAFUGA JINI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bro, wanaosema maovu yote ya Mbowe ni hao waliokuwa wanakaa nae meza moja, ambao kwa hakika ndiyo wanaomfaham vizur kuliko tunavyomjua mimi na wewe.Umesoma alichoandika? Kila sentensi ameandika kwamba hana ushahidi wa alichoandika. Sasa tujadiliane nini??
Wanaogopa kifo mbowe anatuhuma kibao za mauajiKwani hao waliotoka wamemkimbia Mbowe? Wanamkimbiaje Mbowe??
Ndio nani huyo jiweAcha ujinga hakuna anaeweza kushindana na vyombo vya dola.
Ben saa nane,azroy agwanda na wengineo jiwe anajua waliko
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hao waliotoka wamemkimbia Mbowe? Wanamkimbiaje Mbowe??
Kama ambavyo wamesema Lijualikali na Waitara kuhusu Mbowe kuiba fedha na kwenda kufanya kilimo huko Ifakara. Mbowe alifanya kazi hiyo kwa Mgongo wa Diwani mmoja huko Ifakara jina silikumbuki vizuri.
Ila Diwani huyo alishambuliwa kwa mapanga na watu wasiojulikana. Taarifa nilizozipata wakati huo kutoka kwa viongozi wa juu ndani ya CHADEMA ni kuwa huenda Diwani huyo aliuawa kwasababu za kimaslahi kuhusu mambo ya mashamba na kilimo aliyofanya na Mbowe. Sikuandika kwasababu sikuwa na taarifa za ndani kuhusu mradi huo maana Wabunge hawa walificha hizi taarifa.
Ila niliwahi kuandika kuhusu hisia zangu za Mbowe kuhusika na upotevu wa Ben Saanane na Shambulio la Tundu Lissu. Mods mnaweza kunisaidia kuunganisha Uzi ule. Magazeti yaliandika habari hii.
Sasa zipo hisia kubwa kutoka kwa viongozi ndani ya Chama kuwa Mbowe alihusika na shambulio la Diwani yule kwasababu za kimaslahi.
Vyombo husika vifuatilie mwangwi huu!
Kwa tunaomjua Mbowe tunajua anaweza kufanya lolote almradi kulinda maslahi yake. Zitto kama hatakuwa mnafiki atakiri hadharani kuwa alishawahi kukatiwa breki za gari lake wakati fulani. Pia alitaka kuwekewa sumu na Ben Saanane.
Ben Saanane tukiwa nae Mabibo External kwenye Bar moja kubwa pale opposite na kanisa la KKKT baada ya kuondolewa Makao Makuu ya CHADEMA aliniambia kwa mdomo wake kuwa amemwambia Mbowe kuwa kama atabariki yeye kuondolewa Ben Saanane kuondolewa pale Makao makuu basi atajua atakavyojitetea maana wamefanya mengi yeye na Mbowe hivyo Mbowe anapaswa kumlinda. Jibu la Mbowe kwa Ben Saanane lilikuwa " UNANITISHA? Tuonane wiki ijayo" Alipoenda wiki ijayo akapewa cheo ambacho hakipo kwenye Katiba wala muundo wa Chama cha MSAIDIZI WA MWENYEKITI MAKAO MAKUU. alifanya kazi miezi miwili tu.
Nakumbuka alitumwa Hai na baadae Afrika Kusini. Aliporudi Afrika Kusini akiwa airport aliwasiliana na watu wawili kuwa amerudi baada ya hapo hajaonekana tena mpaka leo. Kwa tuliokuwa Makao Makuu mahusiano ya Mbowe na Saanane hayakuwa mazuri tena tangu Zitto aondoke CHADEMA maana siri nyingi zilivuja na hivyo Mbowe akawa anamkataa Saanane ili asichafuke. Mbowe anatumia mtu halafu anamkataa.
Alimtumia Zitto dhidi ya Chacha Wangwe akamkataa, Akamtumia Slaa na akina Saanane akawakataa, akawatumia Komu na Lwakatare dhidi ya Slaa leo amewakataa. Nasubiri anguko la Lissu baada ya Shambulio kufeli.
Muda unanisaidia sana. Ndio maana nasemaga JINI LINAWALA WAFUGA JINI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hadi wewe unanifahamu na hauko Dar wala Tanga huoni kama mimi ni maarufu tayari? Na bado unapata hata nafasi ya kusoma na kuchangia nilichoandika sitaki umaarufu zaidi ya huoNimetetea nini. Bandiko lako hata wanaojadili hawajalisoma vizuri. Umeandika kuwa ni hisi zako tu. Sasa kama ni hisi kwa nini tujadili hisi za mtu?
Wewe hata jina la Diwani mwenyewe hulikumbuki habari yako itakuwaje ya kweli? Halafu unaposema unasaidia uchunguzi uchunguzi gani wewe unaosaidia? Umaarufu unaoutafuta utagharimu heshima yako ndugu yangu.
Maana hata mtu akijisaidia hadharani atakuwa maarufu lakini umaarufu wenyewe utakuwa ni wa kipumbvu tu!!
Tangu issue ya Chacha Wangwe siwez kumuamini mbowe kamwe
Kwani wewe mumeo hakwenda kwenye maandalizi ya mkesha wa kuiaga corona?
Habari nzito sana!!Mbowe ameuwa wengi sana zipo pia tetesi za kutaka kumuuwa zito. Kupanga mumuuwa Dada yeke kisa mali za ukoo kumbuka huyu Dada alikufa kama Regia mtema na chacha Wagwe vifo vyao vinamalalamiko ya mbowe kuhusika
Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu mjanja sana. Amemficha dereva dhidi ya Wanachadema wasije wakapoteza ushahidi
Kwann unadhani aliyoyaandika ni ya kijinga? Au kwa kuwa wewe uko kwenye mrengo sawa na Mbowe ndo maana huamini chochote kinachosemwa dhidi yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
mahakama si zinawalinda mmesababisha kifo cha akwilina mmeishia kupigwa fain tu.
dawa yenu ipo jikoni nyinyi vichwa maji
Sent using Jamii Forums mobile app