Tetesi: Diwani wa Ifakara aliyeshirikiana na Mbowe kwenye Kilimo aliuawa kwa kukatwa Mapanga

ACP Barnabas Mwakalukwa azungumzia - A Crime Triangular, cyber space, cybercrime , cyber location , Offender ....victim of crime, terrorism.. How you can protect...

 
kusema ukweli ndo kueneza chuki,wewe wa wapi ?
jeshi la polisi litamshughulikia mbowe mda ukifika.labda akimbie na hata akikimbia atakamatwa tu.akina felician kabuga si walikimbia lkn leo wapo ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe alifanya kazi hiyo kwa Mgongo wa Diwani mmoja huko Ifakara jina silikumbuki vizuri.
Hilo shamba lilikuwa na ukubwa gani ama kama ni kununua mpunga walinuua kiasi gani na walikuwa wanauhifadhi wapi?

Kwa ivo unapoandika "huenda" unamaanisha huna hakika. Sasa kama wewe huna hakika unataka tujadili jambo ambalo wewe mwenyewe huna hakika nalo??

Sikuandika kwasababu sikuwa na taarifa za ndani kuhusu mradi huo maana Wabunge hawa walificha hizi taarifa.
Kwa ivo na hao wabunge pia unawatuhumu kushirikiana na Mbowe kufanya uhalifu??

Ila niliwahi kuandika kuhusu hisia zangu za Mbowe kuhusika na upotevu wa Ben Saanane na Shambulio la Tundu Lissu.
Huu tena si ukweli bali ni hisia zako!!??

Sasa zipo hisia kubwa kutoka kwa viongozi ndani ya Chama kuwa Mbowe alihusika na shambulio la Diwani yule kwasababu za kimaslahi.
Kwa mara nyingine tena umeleta mambo ya hisia.
 
We ni mpuuzi kama wapuuzi wengine,peleka huko upuuzi wa kitoto
 

Mkuu ww unataka cdm wajibu au kuchukua hatua kwani hujui haya mashambulizi ya sasa yako kisiasa zaidi? Kweli huyu ni verified user, je anamzidi Waitara ambaye ni mbunge kabisa kwa zile tuhuma zake? Je huyu anamzidi Godwin Mollel mbunge na naibu waziri, aliyesema ana ushahidi wa jinsi cdm walivyopanga kumuua Lissu? Ni mahakama ipi cdm itaenda kufungua mashitaka na itegemee kutendewa haki? Cdm wasilogwe wakaingia kwenye hayo malumbano ya siasa chafu, vyombo vya dola vipo na watoa tuhuma ni wanaccm, wawaite wawape ushahidi tayari kwa kesi kuanza.
 
This is stupidity,, rubbish, foolish to the maximum stage...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hlo halikuhusu nmeumbwa kumsujudia Allah pekee cwezi msujudia bnaadamu jwa kutaka kitu fulan kama mlivyo weng huko zizin lumumba
maisha ya tanzania ni mazuri sana wake wawili na watoto sita wote wanasoma shule za kulipia.
na una usafiri na nyumba.
hii ndo faida ya serikali makini inayosimamia uchumi kwa watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuu
 
Je una uhakika kuwa Kaloa damu na unaweza kuthibitisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maswali ya kitoto sana hii ni whistleblower tu, sio mahakamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…