Diwani wa Mbagala Kuu, Shabani Othman Abubakari(CCM) afariki dunia akiwa 'guest' na mwanamke

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbona kujigawa
 
Kwa Sasa tusiwa pre empty ccm .Tusubiri iwe mkuu.
 
Acha kuwanyanyapaa watu kwa misingi ya umri
 
Diwani ameshaungana na Mwendazake kwa sasa, acha kupotezea watu muda.
 
Asilimia kubwa msichana hana kosa ,alipoona viagra imemzidi mzee alisepa , viagra sio mchezo , inabidi upate ushauri kabla ya kutumia .

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Diwani kwa kujifanya mjuaji asingeomba ushauri.
Hata instructions hakusoma. Alizifakamia Kama karanga ili isimame Kama trafik
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…