Ragnar Fluke
JF-Expert Member
- May 22, 2012
- 374
- 116
Kupitia mtandao wa picha (instagram) mafuvu ameandika kuhusu kuacha kazi vituo hvyo sababu ikiwa ni agizo kutoka juu kwa aina mpya ya kupiga musiki...
Sababu nyingine ametaja kipato kidogo ambapo alikua ananunua vifaa vyake binafsi vinafanya kazi y kampuni lakini malipo yanakua kiduchu....
Amemaliza kwa kutoa shukran kwa wafanyakazi na mashabiki wake.....
All the best dj ad mafuvu unapoelekea.....
Sababu nyingine ametaja kipato kidogo ambapo alikua ananunua vifaa vyake binafsi vinafanya kazi y kampuni lakini malipo yanakua kiduchu....
Amemaliza kwa kutoa shukran kwa wafanyakazi na mashabiki wake.....
All the best dj ad mafuvu unapoelekea.....