Be u.... Nothing like role modelAlikuwa ndo role model wangu wa kuacha kuajiriwa na kujiajiri
Kumbe mkataba tuu ndio uliisha!!!
Hahahaha
Promo tu hizoo...!Kuliko watangazaji wote Afrika? Kwani kuna watangazaji wangapi Afrika na wote unajua wanalipwaje hadi useme Dj Fetty atalipwa zaidi ya hao wengine waliopo? Afrika kuna Redio ngapi kwa ufahamu wako na umeijuaje mishahara wanayolipa wafanyakazi wao?
Kuliko watangazaji wote Afrika? Kwani kuna watangazaji wangapi Afrika na wote unajua wanalipwaje hadi useme Dj Fetty atalipwa zaidi ya hao wengine waliopo? Afrika kuna Redio ngapi kwa ufahamu wako na umeijuaje mishahara wanayolipa wafanyakazi wao?
AahBe u.... Nothing like role model
Atakuwa analipwa $ Laki Sita kwa mwezi na kwa wiki atakuwa analipwa Milion 15 kwa mkataba wa miaka 18!Kuliko watangazaji wote Afrika? Kwani kuna watangazaji wangapi Afrika na wote unajua wanalipwaje hadi useme Dj Fetty atalipwa zaidi ya hao wengine waliopo? Afrika kuna Redio ngapi kwa ufahamu wako na umeijuaje mishahara wanayolipa wafanyakazi wao?
Sawa lakini kuliko wote Afrika!!?Atakuwa analipwa $ Laki Sita kwa mwezi na kwa wiki atakuwa analipwa Milion 15 kwa mkataba wa miaka 18!
Si ndio hapo.Kuliko watangazaji wote Afrika? Kwani kuna watangazaji wangapi Afrika na wote unajua wanalipwaje hadi useme Dj Fetty atalipwa zaidi ya hao wengine waliopo? Afrika kuna Redio ngapi kwa ufahamu wako na umeijuaje mishahara wanayolipa wafanyakazi wao?
Samahani mkuu hivi oman rial ndo iko juu duniani au kuna hela ingine yenye thamani zaidi ya hapo?atakua analipwa kwa oman riyal nini mkuu??