Dj Fetty ndiyo mtangazaji atakae kuja kulipwa mshahara mkubwa kuliko wote Barani Africa

Dj Fetty ndiyo mtangazaji atakae kuja kulipwa mshahara mkubwa kuliko wote Barani Africa

biashara ngumu magu kabana kodi wateja hamna
 
Atakuwa analipwa $ Laki Sita kwa mwezi na kwa wiki atakuwa analipwa Milion 15 kwa mkataba wa miaka 18!
Ukiwa muongo uwe unajua jinsi ya kutetea uongo wako kama atakuwa analipwa 15mil kwa wk ina maana kwa mwezi atakua analipwa 60mil Tsh wakati huo huo umesema atakua analipwa USD 600k kwa mwezi ambayo ni zaidi ya billion moja in Tsh. From 1bil to 60mil wapi wapi?

Hisabati naona haipandi kilaaza wewe.
 
Duh huo mkataba ni wa kipekee. Na hizo $ ni za Zimbabwe, ama?
Yaani clouds hawa wamlipe mtangazaji bilion moja Na senti ela ya Tanzania wanapata matangazo gani au wao matangazo yao yatakuwa yanafika mbinguni yaani afrika sijui kama kuna MTU anakula huo mshara labda rais wa nchi
 
Embu tutajie kwanza orodha ya watangazaji wanaolipwa zaidi barani africa....ili huo uzi tuujadili kwa mapana ya vigezo na masharti.....[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
hebu futa kauli yako mkuu tena haraka hivi kina regina mwalekwa,charles hillary unafkiri wanalipwa pesa ya pipi eeh?
 
Alijiajiri kwa kufungua duka la nguo Msasani kwenye mall, ni mfano wa Ally Masoud Kipanya alifungua KP duka la nguo Millennium Towers pale. Wote hawa wamerudi kuajiriwa upya na Clouds media kujiajiri kumewashinda!!
 
Si bora Babra Hassan kuliko uyo fety suti mkauko au ile "Unaona bwana" anayoitamka ndo imekuchanganya!! Atalipwa mshahara mkubwa kuliko nani na nani! Hebu weka katika mfumo wa Rank za malipo ili tuelewe zaidii
 
Back
Top Bottom