Kazi ya utangazaji ni party time haikuzuii kufanya deal nyingine.Kipanya,B12, wana deal nyingine wanafanya licha ya kuwa ni watangazaji hapo CloudsAlijiajiri kwa kufungua duka la nguo Msasani kwenye mall, ni mfano wa Ally Masoud Kipanya alifungua KP duka la nguo Millennium Towers pale. Wote hawa wamerudi kuajiriwa upya na Clouds media kujiajiri kumewashinda!!
Eti eehKwa nifahamu mie Oman real, inazidiwa kidogo na pesa ya Kuwait......
Mnaowaita role model ni hatari hatari take careBe u.... Nothing like role model
Anarudi tena clouds si aliondoka akawa anauza duka lake
na charles hillary analipwa bei gan na Azam mkuuGadner Analipwa 1.5m Labda Fetty ndio atakuja kumpiku.
Sawa ni part-time, lakini alipoacha utangazaji hakulijua hilo!?Kazi ya utangazaji ni party time haikuzuii kufanya deal nyingine.Kipanya,B12, wana deal nyingine wanafanya licha ya kuwa ni watangazaji hapo Clouds
AiseeAtakuwa analipwa $ Laki Sita kwa mwezi na kwa wiki atakuwa analipwa Milion 15 kwa mkataba wa miaka 18!
Mita tatu Unusu.na charles hillary analipwa bei gan na Azam mkuu
aaah mkuu unatania Azam walimuhamisha kutoka BBC kuja kwao kwa Mil 3 UnusuMita tatu Unusu.
C.H alistahafu BBC.aaah mkuu unatania Azam walimuhamisha kutoka BBC kuja kwao kwa Mil 3 Unusu
kumbeee nilikuwa sijajuaC.H alistahafu BBC.
KWA hiiiiizi HIZI Kelele Za kutangaza top ten?Atakuwa analipwa $ Laki Sita kwa mwezi na kwa wiki atakuwa analipwa Milion 15 kwa mkataba wa miaka 18!
Vipi kuhusu Larry Madowo?Hapo Kenya kuna mtangazaji anaitwa Maina Kageni wa Radio Classic 105 analipwa zaidi ya shilingi za kenya milioni moja na laki nane (1.800,000) sawa na shilingi milioni thelathini na sita (36,000,000) za kibongo. Huyo Fetty atalipwa zaidi ya hapo?