Dj Majizo, Muasisi wa muziki wa Mchiriku, Mnanda, Singeli redioni!

Ngoja ngoja ngoja subiri kwaanza, ni mchafuko wa dhambi dunia sasa inanuka, uchawi gani wa kunirushia paka.....sema weka tenaaaa
 
Kuna ile ya shemeji!
Nimemkumbuka Marehemu Omary Omary na Juma Mpogo,

Omary aliimba nyimbo ya kumkumbuka rafiki yake aliyepata ajili pale Mataa ya Buguruni aligongwa na semi lilikuwa likitoka bandarini...Moja nyimbo za mchiriku niliwahi kuipenda kupita maelezo...RIP Omary Omary
 
Hongera sana kwake Majay. Hatimaye na mimi uwa nasikiliza hizi nyimbo haswa za Msaga Sumu... Jamani unanitega shemeji unanitega shemeji ni wimbo mzuri
 
Ngoja ngoja ngoja subiri kwaanza, ni mchafuko wa dhambi dunia sasa inanuka, uchawi gani wa kunirushia paka.....sema weka tenaaaa
Hahaha hii ya nani na inaitwaje?
 
Jambazi
Hawa nao ni wachawi tuu sijui wanataka tumsifie nani na kwa lipi? Mi nilifikiri wanapinga nilicho andika kumbe wanachukia mwenzao akisifiwa kwa jambo alilo lifanya...Teh Teh
 
Hizi ndio unifanya ni msikilize kila siku kicheko...! Huwa zunauzunisha sana na zinapeleka mbali sana...!
 
MKUU HUU MTINDO MPYA WA UIMBAJI UMEKUWA BURUDANI TOSHA SANA
Hakika kabisa mimi ndio maana nimemshukuru Majizzo maana bila radio zake mimi nyimbo hizi ningesikia wapi!

Nimekuwa mshabiki wa nyimbo hizi!
 
Enzi za kampeni, sholo mwamba alinrusha na hiki kitu:
 
Hainaga ushemeji hiyo tunakulaga.
Hatari sanaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…