Dj movies wa Arusha acheni hizo kazi hamuziwezi

Upon sawa kwa asilimia 100 hawa wajinga Hamna kitu uongeaji wao wa jinsi ya kutafsiri wanaongea km wamekunjwa uji wa magimbi coz kwanza kutafsiri ni kipaji km vipaji vingne kuna maDj wakitafsiri wanavutia mpaka unainjoi hata kama movie mbaya kuna mtu huyu wa kuitwa (Dj blaki) au ukipenda waeza kumwita blaki for shizzo Huyu kiumbe ni hatari nyingne na ndio mwanzilishi wa kutafsiri season,hao wachaga wakauze magenge tu kazi imewashinda.salute sana kwa madj hawa Dj mark&mark.
 
Hao wanajiita full respect walinifanya niache kabsa kuangalia muvi zilizo tafsiriwa, waongo wakubwa wanapotosha maudhui ya muvi hadi mtazamaji unaona aibu kutazama.
 
Tatizo lao hawatafsiri wanatuhadithia yale tunayoyaona, hebu na wafanye km wenzao wa lugha nyengine kwa mfano hapa kuna movie za Turkish zimetafsiriwa kwa kiarabu yn utasema wameigza waarab even za kihindi unaua sauti original unaingiza ya lugha unayotaka yn movie inakua iko na uhalisia ule ule na hauchoki kuangalia.
Hebu na cc tujaribu nahic zitakua nzr tu tena Turkish wana story nzr sana.
 
kwa sasa Afrika ya Mashariki na ya Kati hakuna DJ bora kama Murphy DJ jamaa anajua what we need is not only English tunahitaji mtu anayejua kunogesha Movie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…