Dj movies wa Arusha acheni hizo kazi hamuziwezi

Dj movies wa Arusha acheni hizo kazi hamuziwezi

Kama ile tamthiria ya Kichina "Mao dodo na wakwe zake nilijua ni wachina wanaongea kibongo.
iyo ndo ilikuwa nzuri sana aseee jamaa walifanya kutafsir poa.sema ni kwasababu kila mtu aligeiwa uhusika tofaut na ao jamaa wa kutafsir akina dj anafanya kazi yote yeye mwenyew
 
Inawezekana wewe ndio hujui kingereza vizuri,jamaa sio wabaya kihivyo km unavyosema wewe. Pia wengi wenu mna wivu wa kibongobongo mnajifanya mnajua kumbe pumba tupu. Jamaa anajua acha zengwe wewe bongo movie mavi
 
Hivi kweli kuna wanaume na akili zao wanakaa wanatazama hizi sinema za mahouse girl wasiojua kusoma wanatafsiriwa uongo??
yani hadi unawajua hadi majina kabisa??
 
kwa sasa Afrika ya Mashariki na ya Kati hakuna DJ bora kama Murphy DJ jamaa anajua what we need is not only English tunahitaji mtu anayejua kunogesha Movie
Jamaa anajua sanaaa sema kuna pumba wanajifanya wajuaje kumbe hakuna kitu. Sema wao ndio hawajui kingereza. Halafu wabongo ni wakosoaji wazuri sanaaaa ila wengi wao bogas
 
Kwanini Uzi huu umeuweka Leo? Baada ya kusikia mlela anawashitki? Acheni unafiki jamani
 
Upon sawa kwa asilimia 100 hawa wajinga Hamna kitu uongeaji wao wa jinsi ya kutafsiri wanaongea km wamekunjwa uji wa magimbi coz kwanza kutafsiri ni kipaji km vipaji vingne kuna maDj wakitafsiri wanavutia mpaka unainjoi hata kama movie mbaya kuna mtu huyu wa kuitwa (Dj blaki) au ukipenda waeza kumwita blaki for shizzo Huyu kiumbe ni hatari nyingne na ndio mwanzilishi wa kutafsiri season,hao wachaga wakauze magenge tu kazi imewashinda.salute sana kwa madj hawa Dj mark&mark.
acha roho mbaya mayala ww mbn ma DJ wa arusha wanajua tuu dj maphy yuko vzr na lugha anaijua mmekaa ki wivu wivu tuu na ubaguzi mak*ma nyie.....wachaga wachaga wameakosea nini wachaga kama mnahasira sana nendeni waka wa f*le bac wakayatatue malinda yenu ayo machoko nyie..
 
Aiseee nyie ma dj mnaotafasiri muvi kutoka Arusha acheni tu hizo kazi maana kingereza hamjui kazi kuweka maneno na rafudhi ya ki ngada kwenye muvi mwishoni watoto wanayaiga mtaani.
Kuna hili limoja linajiita Murphy dj kutoka full respect familly ndio halijui kabisa...
Kazi kupataja kwa Muromboo tu.
waachieni watoto wa Acheche na King ndio wanaweza.

Kama imekutachi ruhusa kumwaga Gwanji yako..
Mondray♡♡
Vipi kuhusu Ommy DJ mkuu, anajitahidi?
 
kwa sasa Afrika ya Mashariki na ya Kati hakuna DJ bora kama Murphy DJ jamaa anajua what we need is not only English tunahitaji mtu anayejua kunogesha Movie
[emoji106] [emoji106] [emoji106] swadakta
 
DJ Marphy yuko vizuri sana ana sauti nzuri kachangamka mimi binafsi namkubali sana, sasa kichina na kikorea mi sikijui na kusoma pale chini sioni picha inakuwa kama unasoma hadithi kitabuni, naona bora ninunue iliyotafsiriwa.
 
Back
Top Bottom