Yani unajifanya hujui habari ya rushwa?Na nani?
Kwani we unaombaga rushwa??
Sio kama sijui,lakini nimejaribu kufikiria tu. Sijawahi kutoa rushwa ya ngono anyway...Yani unajifanya hujui habari ya rushwa?
Mimi nimeshawahi kupewa rushwa ya ngono...sio lazima uombe
Sio kama sijui,lakini nimejaribu kufikiria tu. Sijawahi kutoa rushwa ya ngono anyway...
Umeuliza kutoa au kuombwa??Hujawahi kukutana na mtu anataka rushwa ya ngono?!
Umeuliza kutoa au kuombwa??
Ok. Nishashawahi kuombwa.. Hilo la kuombwa kawaida mbona hasa sisi watoto wa kikeNaona hukusoma swali langu vzr
Ok. Nishashawahi kuombwa.. Hilo la kuombwa kawaida mbona hasa sisi watoto wa kike
Hahahahaaa sikujua mkuu km ndo ivyo pambana nae 2 hadi kielewekeJamaa anapenda kiki sana pia anamshobokea manzi yangu humu!
Jamaa anapenda kiki sana pia anamshobokea manzi yangu humu![/QUO
huu mwandiko wa DJ sepetu kabisa huu
Sio kama sijui,lakini nimejaribu kufikiria tu. Sijawahi kutoa rushwa ya ngono anyway...
Ok. Nishashawahi kuombwa.. Hilo la kuombwa kawaida mbona hasa sisi watoto wa kike
kwa hiyo kisa Demu ndio umemuanzishia na Thread kabisaJamaa anapenda kiki sana pia anamshobokea manzi yangu humu!
AseeehIn my life haters nawapa kipaumbele sana in short nawatumia kama magurudumu ya kunipeleka far!