Aise yani hovyo kabisa makelele tuSiku hizi si mna dj wenu anaitwa ally nani sijui anapiga kelele tu
Ova
Kizazi cha trending hakuna tena fursa za talents. Zamani DJ alikuwa ana set test zake hata bila jingle unaweza kujua kwenye mtambo kasimama nani.MTAZAMO ni kweli ,kuna kipindi East Africa Radio kipindi cha The Crewz yaani akiwa DJ JD hata asipopiga Jingle unajua kabisa yupo mtamboni due to uniqueness zake za mixing.
Ni kichaa kachala mbishi Sir NechaaaaSteve B, Nature Vencha ni mafundi wa kukeshaβ¦
Hakika mkuu figo ni mziki mwingineUsifanye mchezo na figo mzee babaπ hiko kipengele ni fupa lililomshinda fisi.
Sasa nauliza SteveB ni Dj ama Mc!!
AmiynnDah[emoji24]
Innalillah wainnaillah rajiuun.
Ee Mungu nijaalie mwisho mwema.
Dj D ommy ni mtu na nusuLeo asubuhi kwenye Power breakfast..nilimsikia Fetty akisema Dj d ommy anapiga mix kali kama za Dj skills
Mwana fa mabinti hii sio π₯π₯π₯π₯π₯Sasa nauliza SteveB ni Dj ama Mc!!
Kwa tanzania hamna anaemgusa jitu neneDj D ommy ni mtu na nusu
Pole Kwa msibaR.I.P Steven Allen Mdoe, Steve B ,Dj Skills
Mwana FAMwana fa mabinti hii sio [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mi sijiviki uwakili sijui Nini na Nini hukoooNacheck Scratch za Bonny.
HakikaKwa tanzania hamna anaemgusa jitu nene
Yap kweli πMwana FA
Hili songi kinaitwa Hii Leo YA G.K na East Coast team haooo
hajiviki uwakili anaona umuhimu wa kuhoji clap clap πMi sijiviki uwakili sijui Nini na Nini hukooo