monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!Dah!
R.i.p
Nakumbuka nyimbo fulani ya Juma Nature, au kashirikishwa......nature anaanza hivi;
"Eeh, Steve b, Natureee, Ventureee ni mafundi wa kukeshaaa...."
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana!Dah!
R.i.p
Nakumbuka nyimbo fulani ya Juma Nature, au kashirikishwa......nature anaanza hivi;
"Eeh, Steve b, Natureee, Ventureee ni mafundi wa kukeshaaa...."
Lumuliko Magele" Muli B"..Wakikujibu niambie,jamaa yetu Lumuliko mengere Yuko wapi
Tigo patapata ile ilikua tangazo tu la promo but yupo cloudsLumuliko Magele" Muli B"..
Yupo Tigo...Yupo sana kwenye mambo ya matangazo...
Siku ukibahatika kuona Tigo wana'launch "product" yao mpya....Utamuona..
Ila nimemuona mara nyingi sana huko...Tigo patapata ile ilikua tangazo tu la promo but yupo clouds
Sahihi kabisa Mkuu"Sitivibii wewe unamfanya muji unatishingika" - Abel Motika(Mr Ebbo).
Poleni Ndugu , Jamaa na Marafiki.
Kumbe ni mtu mzima kabisa,nimesoma mahali kuwa hakuwa na mke wala mtoto.Apumzike kwa amaniView attachment 2704111
Kwa nini alitoka clouds media?Rest in peace brother. Nakumbuka kukutana na wewe first time kwenye maonyesho ya 77 miaka ya 90 ukiwa young and talented dj na kila mtu alijua ungekuja kusumbua kwa uwezo wako. Kweli ulikuja kuwa dj mkubwa na very top in Tanzania.
Pumzika kwa amani kaka [emoji120]
hapo nimemfahamu Dj Skillz (RIP) na John Dillinga, huyu mwingine ni nani, hopeful atakuwa Dj fulani msela wa kitambo!!Apumzike kwa amaniView attachment 2704111
Dally Kimoko au Lukasa ya MbongoVipi Ugonjwa uliomuua ndiyo huo uliomfanya hili Shati alilolivaa hapa Pichani limvae kwa Kukonda ( Kupungua ) Kwake Kimaumbile au?
R.I.P Dj Steve B.
Yah ni namna alivyochagua maisha yake!! TuheshimuKumbe ni mtu mzima kabisa,nimesoma mahali kuwa hakuwa na mke wala mtoto.
NHIF haitoi Cover ya Dialysis, Cancer, MRI,CT Scan walipia 50%Nikiwa na bima ya NHIF inacover?
Maana ukishaingia ICU hata BIMA nayo ndani ya mwezi unakuta ushavuka kiwangoProf Jay ilibidi serikali iingilie kati kusaidia matibabu
Watoto wa mwaka 2000 hawawezi kuwajua haoDah,legends hao. ..dah
Jidanganye hapoHivi wale wazee kule vijijini wanakunywa gongo toka walivyokuwa vijana hadi uzee sikuwahi kusikia hayo tofauti ni nini? Au hawa vijana wa mjini hawali vzr na kunywa maji, maziwa kwa wingi?
Inasikitisha Sana!!Duh! Hajaacha mke wala mtoto!
aiseeh, ni kweli maisha ni magumu ila vijana jitahidini uache hata mtoto achilia mke!
Kwa dunia ya sasa pamoja na kuwa na watoto wanaweza wasikusaidie ila ndio watu/mtu wako wa karibu anafata ndugu au rafiki.
Familia ni kitu cha muhimu itafanya uheshimike kwenye jamii inayokuzunguka, Hata kama kiuchumi uko vibaya! Ila sio sawa na kukosa vyote.
Maumivu ya wazazi hapo huwa mara 2 zaidi
Yaani mwamba hajaacha kitu kabisa, na kwa kazi yake au umaarufu kuzungukwa na wanawake ni jambo la kawaida, bora hata angetelekeza mtoto! Kuliko hiyo hajaacha.
Labda kama alikuwa na tatizo la kiafya hapo sawa!
Enzi za ujana wangu niliburudika kupitia hiyo kazi yake, apumzika kwa amani ye katangulia sisi nyuma yake tupo!
Hahahahaha,kabisa mkuuWatoto wa mwaka 2000 hawawezi kuwajua hao