TANZIA DJ Steve B afariki dunia

R. I. P, Steve B. DJ Skills.

Nimekumbuka moja ya wimbo iliyoupenda sana enzi izo
 

Attachments

  • Juelz Santana ft j. isaac - How I Roll_HIGH.mp4
    5.9 MB
Nilikuwa shabiki wa test za mixing na playlist zake. Baada ya Dj John Dilinga kuacha radio yeye ndio alibakia kuwa na test tofauti. Siku hizi bila jingle wanaweza kupiga madj hata watatu usijue ni akina nani sababu wanafanana sana.

MTAZAMO ni kweli ,kuna kipindi East Africa Radio kipindi cha The Crewz yaani akiwa DJ JD hata asipopiga Jingle unajua kabisa yupo mtamboni due to uniqueness zake za mixing.
 
Pombe zote tu sio nzuri🤣 j
Bora hizi pombe za ngano kuliko spirits, spirits zinachoma kabisa.

Visungura na Double Kick vitaleta balaa kwa vijana wengi sana miaka 10 inayokuja

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hizo za ngano mwisho wake ni kisukari tu. Utajaza tumbo mafuta mwisho wa siku ni diabetes 2.
 
Hizo pombe chafu ndio hatari,ila kama unakunywa gin au whisky unamix na barafu mbona hazina shida,baba yangu kanywa whisky n gin zaidi ya 40yrz hakuwahi kua na shida ya figo...unatakiwa unywe maji mengi sana unapokunywa pombe kali
Pombe ni mbaya ila hutu twa kuuzwa buku 2 ni hatari zaidi. Nakubaliana na wewe pombe inahitaji uwe mnywaji maji sana ili kuwa safe.
 

Rest well DJ Steve Bongofleva
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…