Aisee tuombe mungu atuepushie mbaliRudia soma nilivyoandika.
Nimeandika pia utumiaji wa kemikali, dawa etc.
Hata hivyo gharama za kusafisha sasa ni 480,000 kila wiki
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee tuombe mungu atuepushie mbaliRudia soma nilivyoandika.
Nimeandika pia utumiaji wa kemikali, dawa etc.
Hata hivyo gharama za kusafisha sasa ni 480,000 kila wiki
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Daaah hapo unakufa unajionaNa vile NHIF zimekataa ishughulikia
Hebu fikiria kutoa zaidi ya 500,000 kila wiko kwa ajili ya dialysis.
Inakubidi angalau muwe na mapato ya zaidi ya 5mil kwa mwezi
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Wakikujibu niambie,jamaa yetu Lumuliko mengere Yuko wapiNakumbuka mix zake clouds duh rip
Unavyohisi yuko wapi maana ni muda hata hivyo kusikiliza clouds hivi karibuni kama zamaniWakikujibu niambie,jamaa yetu Lumuliko mengere Yuko wapi
Unavyohisi yuko wapi maana ni muda hata hivyo kusikikiza clouds hivi karibuni kama zamani
Yuko pale pale Sasa hivi bossUnavyohisi yuko wapi maana ni muda hata hivyo kusikikiza clouds hivi karibuni kama zamani
Vipi Ugonjwa uliomuua ndiyo huo uliomfanya hili Shati alilolivaa hapa Pichani limvae kwa Kukonda ( Kupungua ) Kwake Kimaumbile au?
R.I P Dj Steve B.
Nikiwa na bima ya NHIF inacover?Rudia soma nilivyoandika.
Nimeandika pia utumiaji wa kemikali, dawa etc.
Hata hivyo gharama za kusafisha sasa ni 480,000 kila wiki
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Nakaziandg, wewe ishi vile unavyoweza kuishi. mengine ni ziada tu ya kusogeza siku.
ukifika wakati wako wa kuhitajika, hata ufanye nini,utahitajika tu.