Tetesi: Djigui Diara aomba kuondoka Yanga dirisha dogo, adai hana furaha Jangwani

Tetesi: Djigui Diara aomba kuondoka Yanga dirisha dogo, adai hana furaha Jangwani

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Yule mdaka mishale kipa mahiri kabisa barani Africa,Djigui Diara amemwandikia wakala wake akitaka kumtafutia timu haraka dirisha hili dogo.

Lakini wanasheria wake pamoja na wakala waliguna maana gharama za kuvunja mkataba ni zaidi ya milioni 500.

Diara anadai hana furaha jangwani sababu ya kwanza ni kupangwa kila mechi hata siku ambazo hujihisi hayuko fit daktari wa timu pamoja na benchi la ufundi humlazimisha kucheza kwa kumdunga sindano .

Mechi ya Yanga na Tabora United aluomba asipangwe ila akaambiwa lazima adake na hakuchomwa sindano yoyote,kilichofuata ni body language yake Ilitoa majibu,Diara hakuwa mchezoni kabisa.

Kuna siku ametoka kucheza kimataifa alipotua uwanja wa ndege akaunganisha moja kwa moja uwanjani kucheza mechi ya ligi,sasa huyu ni mtu au msukule

Kumbuka Diara ni mchezaji muhimu sana kikosini maana hutumima kama kipa na kama mlinzi wa kati kwa wakati mmoja
 
Yule mdaka mishale kipa mahiri kabisa barani Africa,Djigui Diara amemwandikia wakala wake akitaka kumtafutia timu haraka dirisha hili dogo.

Lakini wanasheria wake pamoja na wakala waliguna maana gharama za kuvunja mkataba ni zaidi ya milioni 500.

Diara anadai hana furaha jangwani sababu ya kwanza ni kupangwa kila mechi hata siku ambazo hujihisi hayuko fit daktari wa timu pamoja na benchi la ufundi humlazimisha kucheza kwa kumdunga sindano .

Mechi ya Yanga na Tabora United aluomba asipangwe ila akaambiwa lazima adake na hakuchomwa sindano yoyote,kilichofuata ni body language yake Ilitoa majibu,Diara hakuwa mchezoni kabisa.

Kumbuka Diara ni mchezaji muhimu sana kikosini maana hutumima kama kipa na kama mlinzi wa kati kwa wakati mmoja
Sio diarra peke yake,aucho na pacome pia wameomba kuondoka halafu jana chama na aziz ki wamepigana mazoezini
 
Yule mdaka mishale kipa mahiri kabisa barani Africa,Djigui Diara amemwandikia wakala wake akitaka kumtafutia timu haraka dirisha hili dogo.

Lakini wanasheria wake pamoja na wakala waliguna maana gharama za kuvunja mkataba ni zaidi ya milioni 500.

Diara anadai hana furaha jangwani sababu ya kwanza ni kupangwa kila mechi hata siku ambazo hujihisi hayuko fit daktari wa timu pamoja na benchi la ufundi humlazimisha kucheza kwa kumdunga sindano .

Mechi ya Yanga na Tabora United aluomba asipangwe ila akaambiwa lazima adake na hakuchomwa sindano yoyote,kilichofuata ni body language yake Ilitoa majibu,Diara hakuwa mchezoni kabisa.

Kumbuka Diara ni mchezaji muhimu sana kikosini maana hutumima kama kipa na kama mlinzi wa kati kwa wakati mmoja
Diara anafichiwa madhaifu yake na beki zake za kutumainiwa, Mechi ya juzi imemvua nguo.

Kampeni ya Ubaya Ubwela iendeleeee!
 
Sababu zake zina ukweli maana kila mmoja anaona.
Baadhi ya mechi za kawaida sana golkipa mwingine wa timu anaweza kucheza, lakini wanalazimisha acheze yeye.
Binadamu siyo robot.
Ajiondokee tu😎
Wamemgeuza msukule kuna siku alitoka kwao kucgeza kimataifa ajaunganisha uwanjani kwenye mechi ya ligi
 
Back
Top Bottom