Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 446
- 971
Uafrika ni laana,Mungu wabariki wazungu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mdaka mishale kipa mahiri kabisa barani Africa,Djigui Diara amemwandikia wakala wake akitaka kumtafutia timu haraka dirisha hili dogo.
Lakini wanasheria wake pamoja na wakala waliguna maana gharama za kuvunja mkataba ni zaidi ya milioni 500.
Diara anadai hana furaha jangwani sababu ya kwanza ni kupangwa kila mechi hata siku ambazo hujihisi hayuko fit daktari wa timu pamoja na benchi la ufundi humlazimisha kucheza kwa kumdunga sindano .
Mechi ya Yanga na Tabora United aluomba asipangwe ila akaambiwa lazima adake na hakuchomwa sindano yoyote,kilichofuata ni body language yake Ilitoa majibu,Diara hakuwa mchezoni kabisa.
Kumbuka Diara ni mchezaji muhimu sana kikosini maana hutumima kama kipa na kama mlinzi wa kati kwa wakati mmoja
Alipomzuia Ateba wakiwa 1v1 beki zake za kutumainiwa hazikuwa uwanjani kuzuia asikutane uso kwa uso na Ateba Mbida?Diara anafichiwa madhaifu yake na beki zake za kutumainiwa, Mechi ya juzi imemvua nguo.
Kampeni ya Ubaya Ubwela iendeleeee!
Inafungwa kwa kuwavunja vunja mabeki wote wanaolinda goli kukiwa hakuba beki Yanga ni hakuna timu kiufupi ni hivyo, Diarra anasingiziwa tu ukimvunja Baca, Bocca, Yao Kwasi, akabakia Mwamnyeto basi Yanga ni mwendo wa kufungua tu na kufungwaUzushi Mtupu
Inafungwaje ?
Mkuu tulia sindano za Ubaya Ubwela zikite mpaka kwenye mfupa. Kazi mnayo msimu huuu.Alipomzuia Ateba wakiwa 1v1 Baki zake za kutumainiwa hazikuwa uwanjani kuzuia asikutane uso kwa uso na Ateba Mbida?
Huko Simba watu wanafikiri sawa sawa?
Vipi nyie mnahamia lini huko? Mkienda na sisi tutawafata..Hamia burundi tu mkuu kwani kuna shido
Trump hakukosea.. shithole countries.. takataka kabisaUafrika ni laana,Mungu wabariki wazungu..
Wewe ungekuwa kocha kati ya dube na chikola ungemsajili nani?Makolo kitengo chenu cha propaganda kipo dhoofu lhali.
Aifuate aage familiaAlikuwa anadaka kwa macho,hakufuata hata moja
Mnakumbukumbuku kama akili za kuku.. hivi wale wazee waliosema watahamia burundi ni wazee wa wapi?Tufuate nini sisi mbumbumbu,wajinga,wapumbavu,huku ndio kunatufaa
If they do that itabidi usajili na utambulisho wao fifa ukome, means havitokuwa vilabu vya mpira tena.Nashauri simba na yanga vijisajili pia kuwa ni vyama vya siasa.
Maana nahisi mpira unachezwa sana nje ya uwanja kuliko uwanjani.
Matrako Yakodaktari wa timu pamoja na benchi la ufundi humlazimisha kucheza kwa kumdunga sindano .
Mechi ya Yanga na Tabora United aluomba asipangwe ila akaambiwa lazima adake na hakuchomwa sindano yoyote,