Tetesi: Djigui Diara aomba kuondoka Yanga dirisha dogo, adai hana furaha Jangwani

Tetesi: Djigui Diara aomba kuondoka Yanga dirisha dogo, adai hana furaha Jangwani

Sababu ni hii
JamiiForums-789999666.jpg
 
Yule mdaka mishale kipa mahiri kabisa barani Africa,Djigui Diara amemwandikia wakala wake akitaka kumtafutia timu haraka dirisha hili dogo.

Lakini wanasheria wake pamoja na wakala waliguna maana gharama za kuvunja mkataba ni zaidi ya milioni 500.

Diara anadai hana furaha jangwani sababu ya kwanza ni kupangwa kila mechi hata siku ambazo hujihisi hayuko fit daktari wa timu pamoja na benchi la ufundi humlazimisha kucheza kwa kumdunga sindano .

Mechi ya Yanga na Tabora United aluomba asipangwe ila akaambiwa lazima adake na hakuchomwa sindano yoyote,kilichofuata ni body language yake Ilitoa majibu,Diara hakuwa mchezoni kabisa.

Kuna siku ametoka kucheza kimataifa alipotua uwanja wa ndege akaunganisha moja kwa moja uwanjani kucheza mechi ya ligi,sasa huyu ni mtu au msukule

Kumbuka Diara ni mchezaji muhimu sana kikosini maana hutumima kama kipa na kama mlinzi wa kati kwa wakati mmoja
Kuna siku mtapumuliwa kisogoni kwa habari za uzushi kama hizi, ebu tuonyeshe iyo barua aliyoiandika, au alipoiandika akawaletea nyie umbumbuni ili muione kwanza? Ni mchezaji Gani duniani uliwai kumsikia anakosa furaha kwa kupangwa Kila mechi kwa akili zenu ndogo tu za kuvukia Barabara? Unapoandaa umbea wako basi uwe unafikirisha kwanza kichwa chako angalau umbea uoane na ukweli sio ukihongwa ela ya bando basi unalitumia ovyo ovyo ata kama sio pesa yako!
 
Kuna siku mtapumuliwa kisogoni kwa habari za uzushi kama hizi, ebu tuonyeshe iyo barua aliyoiandika, au alipoiandika akawaletea nyie umbumbuni ili muione kwanza? Ni mchezaji Gani duniani uliwai kumsikia anakosa furaha kwa kupangwa Kila mechi kwa akili zenu ndogo tu za kuvukia Barabara? Unapoandaa umbea wako basi uwe unafikirisha kwanza kichwa chako angalau umbea uoane na ukweli sio ukihongwa ela ya bando basi unalitumia ovyo ovyo ata kama sio pesa yako!
Yule ni binadamu kuna siku anaumwa lakini anaambiwa acheze tu hivyo hivyo,hivi unajua tofauti ya tetesi na comfirmed news kwenye soccer.
 
Yule mdaka mishale kipa mahiri kabisa barani Africa,Djigui Diara amemwandikia wakala wake akitaka kumtafutia timu haraka dirisha hili dogo.

Lakini wanasheria wake pamoja na wakala waliguna maana gharama za kuvunja mkataba ni zaidi ya milioni 500.

Diara anadai hana furaha jangwani sababu ya kwanza ni kupangwa kila mechi hata siku ambazo hujihisi hayuko fit daktari wa timu pamoja na benchi la ufundi humlazimisha kucheza kwa kumdunga sindano .

Mechi ya Yanga na Tabora United aluomba asipangwe ila akaambiwa lazima adake na hakuchomwa sindano yoyote,kilichofuata ni body language yake Ilitoa majibu,Diara hakuwa mchezoni kabisa.

Kuna siku ametoka kucheza kimataifa alipotua uwanja wa ndege akaunganisha moja kwa moja uwanjani kucheza mechi ya ligi,sasa huyu ni mtu au msukule

Kumbuka Diara ni mchezaji muhimu sana kikosini maana hutumima kama kipa na kama mlinzi wa kati kwa wakati mmoja
NINASHUKURU SANA MUNGU SIKUWA SHABIKI WA SIMBA. Kitabia nimegundua wanasimba wengi wanatabia za MAJUNGU, WIVU WA MKE ALIYEACHWA na USHIRIKINA. Hata Maofisini huku wapenzi wa Simba ndio wanaoongoza KUFITINI WENZAO WAHARIBIKIWE. SIJUI KUWA SHABIKI WA SIMBA NI LAZIMA UWE MFITINISHAJI NA MAJUNGU AU
 
NINASHUKURU SANA MUNGU SIKUWA SHABIKI WA SIMBA. Kitabia nimegundua wanasimba wengi wanatabia za MAJUNGU, WIVU WA MKE ALIYEACHWA na USHIRIKINA. Hata Maofisini huku wapenzi wa Simba ndio wanaoongoza KUFITINI WENZAO WAHARIBIKIWE. SIJUI KUWA SHABIKI WA SIMBA NI LAZIMA UWE MFITINISHAJI NA MAJUNGU AU
Ongeza sifa nyingine uchawi
 
Yule mdaka mishale kipa mahiri kabisa barani Africa,Djigui Diara amemwandikia wakala wake akitaka kumtafutia timu haraka dirisha hili dogo.

Lakini wanasheria wake pamoja na wakala waliguna maana gharama za kuvunja mkataba ni zaidi ya milioni 500.

Diara anadai hana furaha jangwani sababu ya kwanza ni kupangwa kila mechi hata siku ambazo hujihisi hayuko fit daktari wa timu pamoja na benchi la ufundi humlazimisha kucheza kwa kumdunga sindano .

Mechi ya Yanga na Tabora United aluomba asipangwe ila akaambiwa lazima adake na hakuchomwa sindano yoyote,kilichofuata ni body language yake Ilitoa majibu,Diara hakuwa mchezoni kabisa.

Kuna siku ametoka kucheza kimataifa alipotua uwanja wa ndege akaunganisha moja kwa moja uwanjani kucheza mechi ya ligi,sasa huyu ni mtu au msukule

Kumbuka Diara ni mchezaji muhimu sana kikosini maana hutumima kama kipa na kama mlinzi wa kati kwa wakati mmoja
Kuficha umbumbumbu ni kazi nzito sana.
 
Yule ni binadamu kuna siku anaumwa lakini anaambiwa acheze tu hivyo hivyo,hivi unajua tofauti ya tetesi na comfirmed news kwenye soccer.
Wakati anaambiwa acheze ivyo ivyo ulikuwepo? Iyo ya kwako ni confirmed news au ni tetesi? Kwanini ujachanganua kama ni udaku au confirmed news?
 
Diara anadai hana furaha jangwani sababu ya kwanza ni kupangwa kila mechi hata siku ambazo hujihisi hayuko fit daktari wa timu pamoja na benchi la ufundi humlazimisha kucheza kwa kumdunga sindano .
Kikosi kipana mnazingua.
 
Yule mdaka mishale kipa mahiri kabisa barani Africa,Djigui Diara amemwandikia wakala wake akitaka kumtafutia timu haraka dirisha hili dogo.

Lakini wanasheria wake pamoja na wakala waliguna maana gharama za kuvunja mkataba ni zaidi ya milioni 500.

Diara anadai hana furaha jangwani sababu ya kwanza ni kupangwa kila mechi hata siku ambazo hujihisi hayuko fit daktari wa timu pamoja na benchi la ufundi humlazimisha kucheza kwa kumdunga sindano .

Mechi ya Yanga na Tabora United aluomba asipangwe ila akaambiwa lazima adake na hakuchomwa sindano yoyote,kilichofuata ni body language yake Ilitoa majibu,Diara hakuwa mchezoni kabisa.

Kuna siku ametoka kucheza kimataifa alipotua uwanja wa ndege akaunganisha moja kwa moja uwanjani kucheza mechi ya ligi,sasa huyu ni mtu au msukule

Kumbuka Diara ni mchezaji muhimu sana kikosini maana hutumima kama kipa na kama mlinzi wa kati kwa wakati mmoja
kichapo kinaonea!
 
Back
Top Bottom