Tetesi: Djigui Diara aomba kuondoka Yanga dirisha dogo, adai hana furaha Jangwani

Simba mnapata tabu hiyi yote Yanga kupigwa na Tabora, itafika zamu yenu kwani kuimba kupokezana ila endeleni kuzusha.
 
Hutumika kama kipa na mlinzi wa kati.
 
Mbumbumbu kwenye ubora wenu... mmeshamaliza kuipokea tabora au bado? Sijawahi ona nchi ina watu wapumbavu kama hii..
Mnataka kuwaua wachezaj wenu muwapige masindano wawe mateja kwa uraibu..muwashukur tabora wamewasaidia nyinyi mateja na yule muhuni gamondi ndio alikua anafukia kabisa kaburini
 
Fake news
 
Mizimu ya mganga haitaki supu ya ng'ombe inataka ya kondoo mwambieni msemaji wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…