Djigui Diara si golikipa wa kutegemewa

Kwan ni wa kwetu huyu maana mpk sasa nafikiri n mzambia nigeria update mbongo anaepiga vle maajabu halafu ww mpira unaujua please kweli ni uefa shooting
 
Bado hujasema.Utasema vyote huu ni mwanzo tu.
 
Tulianza na Dube, tukaja kwa Aziz now ni Diara...tuendelee...
 
kiwango kimeyumba kiukweli. Goli zote amesimama asee

Mkuu zile goli zote zilikuwa bunduki na zinaenda pabaya... mlitaka afe... kuna maisha baada ya Yanga bana.. 😉
 
Mkuu we ni wakala wa chikola mbona Kila sehemu unampamba
 
Wakuu nilikua Guinea kwa braza kidogo akanipe mawili matatu kuhusu uendeshaji wa ofisi kwani kumetokea nini kwa Didiyou Dyara mdaka mishale ambaye kipa la kolo anatakawa ajifunze kudaka mishuti mikali mikali toka kwake🤣🤣🤣
 
Yanga mjifunze kucheza bila uchawi.

Huko Tabora wanyamwezi wako vyedi sana.

Watawapiga kama ngoma kila mkikutana nao.
 
Yanga mjifunze kucheza bila uchawi.

Huko Tabora wanyamwezi wako vyedi sana.

Watawapiga kama ngoma kila mkikutana nao.
Wote tumekua Tabora united mkuu?
 
ile mechi ya kufungwa mbali alipuuzia mpira baada ya kuona mchezaji wake kafanyiwa madhambi akajua ni faulo

diara hawezi linganishwa na kipa yeyote tz
Kweli sio kwa michomo hyo yani ni waaa
 
Nina,wasiwasi Mwigulu atainunua tabora aifanye Singida white star sio kwa kuwababua hivyo vijana wake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…