Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Suluhisho kubwa ni kutenganishwa kwa wizara ya Home affirs na immigration services.
Nida madhumuni yake makubwa yalitakiwa yawe kama marekani Social security number id. Yaani mtoto akizaliwa anapata nida na hiyo inamsadia bila kuhangaika sijui baba yake nani na blah blah zingine anapata Passport.
Tanzania kwa fertility rate yetu na ongezeko la watu ni lazima kuwe na jitihada rasmi za kutoa raia wetu njee waende wakapate ajira na elimu na ujuzi ili tuendelee. Hili linaonekana sana Zimbabwe,Kenya,Ghana na Nigeria wanaweka mazingira rahisi kwa raia wao kutoka nje ya nchi yao kutafuta maisha. Wanaijeria wapo mpaka Namibia wamewekeza kwenye Sme lakini waliingia kama immigrants tuu.
Dhana ya ujamaa ndio inabana wananchi wasipate hata passport, rushwa inatawala kwenye uapataji wa pasi za kusafiria. Hapa ukienda ku renew passport watakutaka uende na mualiko au Hotel reservation ni mambo ya ajabu sana kutokea duniani yanatokea Kurasini. Sio kazi ya serikali kujua mwananchi anataka asafiri kwenda wapi kufanya nini. Yaani iko kama North Korea. Tuna tatizo kubwa la mindset na ushamba kwa wahusika. Naamini ujio wa Venus Nyota pale mjengoni kutasaidia mambo ya maana kama ya passport kuwa total online and electronic maana atashauri mambo ya duniani alikotembelea kwa Hangaya.
Nida madhumuni yake makubwa yalitakiwa yawe kama marekani Social security number id. Yaani mtoto akizaliwa anapata nida na hiyo inamsadia bila kuhangaika sijui baba yake nani na blah blah zingine anapata Passport.
Tanzania kwa fertility rate yetu na ongezeko la watu ni lazima kuwe na jitihada rasmi za kutoa raia wetu njee waende wakapate ajira na elimu na ujuzi ili tuendelee. Hili linaonekana sana Zimbabwe,Kenya,Ghana na Nigeria wanaweka mazingira rahisi kwa raia wao kutoka nje ya nchi yao kutafuta maisha. Wanaijeria wapo mpaka Namibia wamewekeza kwenye Sme lakini waliingia kama immigrants tuu.
Dhana ya ujamaa ndio inabana wananchi wasipate hata passport, rushwa inatawala kwenye uapataji wa pasi za kusafiria. Hapa ukienda ku renew passport watakutaka uende na mualiko au Hotel reservation ni mambo ya ajabu sana kutokea duniani yanatokea Kurasini. Sio kazi ya serikali kujua mwananchi anataka asafiri kwenda wapi kufanya nini. Yaani iko kama North Korea. Tuna tatizo kubwa la mindset na ushamba kwa wahusika. Naamini ujio wa Venus Nyota pale mjengoni kutasaidia mambo ya maana kama ya passport kuwa total online and electronic maana atashauri mambo ya duniani alikotembelea kwa Hangaya.