Dk. Jonh Pombe Magufuli achukua fomu kugombea urais wa Tanzania

Dk. Jonh Pombe Magufuli achukua fomu kugombea urais wa Tanzania

Cochabamba

Member
Joined
Feb 4, 2014
Posts
76
Reaction score
98
Hatimaye Dkt.John Magufuli leo amechukua fomu za kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mambo haya yamefanyika majira ya saa kumi na moja jioni.



  • John Pombe Magufuli ambaye hivi sasa ni waziri wa ujenzi lakini pia amewahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini na ndani ya CCM kwa ufanisi wa hali ya juu ambaye yeye ametamba kipaumbele chake cha kwanza ni kutekeleza kwa vitendo ilani ya chama cha mapinduzi.








1.JPG

2.JPG

3.JPG

4.JPG

5.JPG

6.JPG
 

Attachments

  • Magufuli JF.png
    Magufuli JF.png
    77.7 KB · Views: 3,591
  • b9ccb8c8026835433f9d97615d65c2ce.jpg
    b9ccb8c8026835433f9d97615d65c2ce.jpg
    66 KB · Views: 2,121
Last edited by a moderator:
Weka Picha mkuu,mbona amechukua bila kutangaza nia? Alisharudisha zile nyumba alizowauzia vimada na kuuza kwa bei ya karanga? Masaki anauza nyumba kwa milioni nane?
 
Hatimaye Dkt.John Magufuli leo amechukua fomu za kugombea uraisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mambo haya yamefanyika majira ya saa kumi na moja jioni.


Very coward man, anachoogopa kutangaza nia adharani ni maswali ya madudu aliyofany ikiwemo kuuza mali za Umma. Shame on you, kwenye huo mchakato hakuna kundanganya watu na km za barabara
 
Weka Picha mkuu,mbona amechukua bila kutangaza nia? Alisharudisha zile nyumba alizowauzia vimada na kuuza kwa bei ya karanga? Masaki anauza nyumba kwa milioni nane?

[video]https://www.youtube.com/embed/LofQGOS0bCM?wmode=opaque[/video]​
 
ratiba ya jana ilionyesha hivyo..amechukua bila kutangaza nia aakijiamini kwamba watz wanajua utendaji wake...waache wamlete mwizi huyu ....lazima atwambie zile 268 bil zimeenda wapi

 
Last edited by a moderator:
mwambie atuambie zile 262 za wizara ya ujenzi alipeleka wapi ripoti ya CAG hajaona hizo pesa zilifanyiwa nini?

huyu jamaa ni mchafu sana
eti barabara inatengenezwa klmt kadhaa akiwepo mpaka zinaisha anasema mbomoe ?????
ulikuwa wapi wakianza kilometa ya kwanza,ya pili????
hizi gharama ni za nani?????

angalia madudu ya kilwa road
barabara inatengenezwa mwaka sasa
 
Jembe huoni hata aibu kusema. Maeneo yote nyeti wameuziwa watu binafsi, including vimada wake e.g Kebbys Hotel. Wewe umekaa kushabikia upuuzi. Huyu mtu angekuwa China angekuwa ameshanyongwa siku nyingi

anawadanganya wachache na takwimu zake tangu enzi zile za kuhesabu idadi ya sangara
 
huyu jamaa namfananishaga na member flani humu ndani akichangiaga tu huwa namkumbuka

huyu jamaa anapigaga pesa ndefu sana sema inakua haina mzunguko mrefu ndo maana kujua ni ngumu
ila anajiona msafi sanaa

hamna lolote nyongeza tu.....

Poleni sana, naona kambi ya Monduli mmeamua kuwa wapole sasa...na bado mpaka huyo Mzee wenu atajuta kwa nini alikubali ushauri wa wapambe koko!
 
mwambie atuambie zile 262 za wizara ya ujenzi alipeleka wapi ripoti ya CAG hajaona hizo pesa zilifanyiwa nini?

Kamuulizie kwanza Dr Slaa kama aliishatoa maelezo ya hati ya mashaka kwa CAG.

Magufuli tunamfahamu, tunamtambua.
 
Mbona hajatangaza nia au kimya kimya kama Pinda

Unatangaza nia kwa Mbwembwe kama unatafuta Publicity au Unajisafisha. Lakini kama unauhakika wananchi wanajua UTENDAJI kazi na USAFI wako kwanini uhangaike na kutumia pesa kibao huku maabara hujachangia hata senti???
 
Jembe huoni hata aibu kusema. Maeneo yote nyeti wameuziwa watu binafsi, including vimada wake e.g Kebbys Hotel. Wewe umekaa kushabikia upuuzi. Huyu mtu angekuwa China angekuwa ameshanyongwa siku nyingi


Huyu wananchi wenyewe kila anakopita ndivyo wanavyomuita.Hiyo ya kuita jembe sio mie nimembatiza, ndivyo Watanzania wenyewe walivyombatiza kila akiienda kwenye mikutano.

https://www.youtube.com/watch?v=5SOm4YS-T3k

https://www.youtube.com/watch?v=8Zm_ssRNjyI

Huyu jamaa hana haja ata ya kuhonga pesa kama yule wa Monduli.Huyu anakubadilika tu.
 
Huo ubreaking news labda kwako tu...

Ratiba ya watia nia kuchukua fomu ilishawekwa bayana na jina la Magufuli lilikuwepo
 
Back
Top Bottom