Dk. Jonh Pombe Magufuli achukua fomu kugombea urais wa Tanzania

Dk. Jonh Pombe Magufuli achukua fomu kugombea urais wa Tanzania

We kima ushavuta bange enh?? Huo ulikuwa mpango wa serikali...fyatu weww

kama mpango ukiwa ovu unatakiwa uupinge na wakigoma unajiuzulu,jizi magufuli alisimamia uovu,akajipa nyumba,moja akampa mdogo wake,nyingine akamhonhga mchepuko wake...
 
kama mpango ukiwa ovu unatakiwa uupinge na wakigoma unajiuzulu,jizi magufuli alisimamia uovu,akajipa nyumba,moja akampa mdogo wake,nyingine akamhonhga mchepuko wake...

Kwisheni kazi huyu mtabwabwaja sana lakini ni tishio, cha msingi muombe apitishwe Lowassa ili muwachane vizuri!
 
Peleka hilo swali kwenye thread ya Sumaye alishaelezea nani aliuza hizo nyumba...acha udaku
Hivi taifa linaingia gharama kiasi gani kutokana na kupanga nyumba za viongozi baada ya kuuza nyumba zake
.

Peleka hilo swali kwenye thread ya Sumaye alishaelezea nani aliuza hizo nyumba...acha udaku

hujajibu swali.
 
Hivi taifa linaingia gharama kiasi gani kutokana na kupanga nyumba za viongozi baada ya kuuza nyumba zake
.

Peleka hilo swali kwenye thread ya Sumaye alishaelezea nani aliuza hizo nyumba...acha udaku

hujajibu swali.

Ni kweli..uko sahihi sijajibu swali..na ndo maana nimekupeleka kwenye thread ya Sumaye...yeye ndo amejibu swali la uuzwaji wa nyumba. Ebo!
 
Kwa kuwa barabara hizo zimejengwa Tanzania na sio Burundi basi hakuna tatizo kabisa.

Yeyote atajayeleta hoja kama hii atakuwa ameishiwa, labda kama angekuwa anajenga barabara kwao tu, lakini Magufuli tumeshuhudia bajeti ya wizara yake anabalance pande zote za nchi.Miaka michache iliyopita waziri alivyokuwa Mramba nakumbuka wakati wa kipindi fulani alipeleka bajeti iliyojaa barabara za nyumbani kwake tu, ikaleta sana mgogoro bungeni.Kwa Magufuli sijawahi kusikia hiki.Yupo busy pande zote za nchi anahangaika na Barabara.

Kama tunachagua rais kwa record yake, basi hakuna kama Magufuli.Hao wengine tunaoona hawajakosea lolote serikalini kama akina Dr Slaa ni kwa sababu hawajawahi kuwa viongozi.

Tukiwajudge kwa uongozi wao ndani ya Chadema kuna uchafu mwingi kuliko uadilifu, na kama watu wanahoji taarifa ya CAG basi warejee pia taarifa hiyohiyo imesema kuwa Chadema mahesabu yao hayapo sawa, sasa tucoclude kuwa hiyi pesa Dr Slaa amekula?

Kuhusu nyumba, jana hiyo hoja imeelezwa kwa urefu sana na Sumaye, kaeleza mchakato mzima wa kufikia maamuzi yale,hakukuwa na uamuzi wa wizara, ilikuwa juu ya wizara.Maamuzi yale yalitokana na tume mbalimbali zilizoundwa na Rais, kwa miaka mingi tofautitofauti, na akasema kuwa uamuzi wa kuuza nyumba ulitolewa na Rais mwenyewe.

Ni muhimu tujitahidi kuwatendea watu haki.

Na ata kama Magufuli angekuwa amefanya uamuzi huo mwenyewe, bado yeye ni binadamu, hakuna mtu anayeweza kufanya maamuzi kwa miaka karibu 20 sasa serikali alafu asifanye ata moja la kukosea, ni binadamu sio malaika.Lazima kuna vitu binadamu atakosea, mpime kwa ujumla wake.Otherwise itabidi tuachane na wanadamu turudi misikitini na makanisani mpaka Mungu amshushe malaika mmoja aje kuwa Rais, maana kwa mwanadamu hayupo asiye na kosa ata moja.Hayupo!!
Mkuu nashukuru sana........HAYA MANYUMBU yana matatzo sana
 
ratiba ya jana ilionyesha hivyo..amechukua bila kutangaza nia aakijiamini kwamba watz wanajua utendaji wake...waache wamlete mwizi huyu ....lazima atwambie zile 268 bil zimeenda wapi
Mkuu bado upo hai?
 
anajua wazi kuwa hatakuwa rais maana alishaelezwa wazi na sasa ni miezi saba tangu apewe kauli hiyo...leo anapochukua form ni katika kufikia malengo yaliyowekwa na chama chao.. ipo sababu..
Mbona alikua Rais!!?Nini kilitokea hadi akapewa!!?
 
Back
Top Bottom