DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,966
Jibu swali zile bilioni 262 alipeleka wapi?
Magufuli ni mwiba kwa UKAWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali zile bilioni 262 alipeleka wapi?
utampigia wewe,huyu ni mwizi wa nyumba za serikali.
Kamuulizie kwanza Dr Slaa kama aliishatoa maelezo ya hati ya mashaka kwa CAG.
Magufuli tunamfahamu, tunamtambua.
Magufuli Watanzania hatumtaki,tunamtaka Lowasa
anawadanganya wachache na takwimu zake tangu enzi zile za kuhesabu idadi ya sangara
Hakuna bora wote ni wachafu hawafai bilioni 262 siyo pesa ndogo atuambie alizipeleka wapi kwanza?
Suala uuzaji viwanda na nyumba za nhc tayari liliwekwa kwenye sera kabla yake, so yeye kazi ilikuwa ni utekelezaji. Ujue waziri hawezi kuamka na kuamua atakavyo.
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza huyu ripoti ya CAG imebaini bilioni 262 hajijulikani zimeenda wapi.
Siwezi sikiliza rubish, nyuma zimeuzwa kwa usimamizi na ushauri wake. Kimadawake amepata nymba mwenge kabomoa kajenga Kebbys hotel, hivyo ndiyo wananchi wanajua na ndiyo ukweli wa hilo jambo
Huna hoja, sikiliza hapo mhusika mkuu, Waziri Mkuu, anaeleza walioshauri nyumba ziuzwe na aliyefanya uamuzi nyumba ziuzwe na kwanin nyumba ziliuzwa.
https://www.youtube.com/embed/LofQGOS0bCM?wmode=opaque
Hiyo hoja ya nyumba ameishaimaliza Sumaye jana, asubuhi na mapema!tafuteni nyingine!
Huyu jamaa kafanya madudu sana wizara ya Ujenzi, alitumia sana mabavu kupisha sheria na maamuzi, kwa mfano project nyingi amezipeleka sehemu ambayo hata siyo feasible. kwa mfano kuna feasibility study ilifanyika mwaka 2004. Study ilisema sehemu ya Kyamyorwa - Buzirayombo (120km) inayopita nyumbani kwa Magufuli (Chato) siyo feasible sehemu iliyokuwa feasible ni ya Usagara - Geita. Ila kwa ujeuri wake na kutojali fedha za walipa kodi alibadilisha maamuzi ili mradi upite nyumbani kwake. Sehemu ya kwake ilijengwa 2005, sehemu iliyokuwa feasible ilijengwa 2009. huo ni mfano mmoja tu wa madudu ya huyu jamaa, akipewa nchi si itakuwa balaaView attachment 257150View attachment 257151
BAADA YA KUSIKIA JUU YA MAGUFULI KAKIMBIA MBIO, NI NANI PPM??
PPM HUO UMASKINI WAKO UTAKUUA, YAAN LOWASSA KWA PESA ZAKE NDIO KAKUPA KAZI YA KUSHINDA KWENYE MTANDAO???nilitaka kushangaa ni nani huyu??kumbe kila unachoandika kwenye thread zote ni kwa maslahi ya LOWASSA.
Guys, muwe macho na watu kama PPM, watu wanalipwa humu na hawa mafisadi kuchafua watu.
Mwaka huu na yeye atapiga mbizi
Kutafuta mgombea uraisi msafi ndani ya ccm ni sawa kutafuta mwanamke bikra kwenye wodi ya wazazi.
Hivi taifa linaingia gharama kiasi gani kutokana na kupanga nyumba za viongozi baada ya kuuza nyumba zake.
Emma, kama huna ya kuongea kaa kimya, siku ya pili sasa huna hoja nyingine?kila sentesi mbili unarudia hayohayo.Grow!!