Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,563
Japo siipendi ccm huyu bwn namheshim kwa utendaji wake wa kazi.
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza huyu ripoti ya CAG imebaini bilioni 262 hajijulikani zimeenda wapi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo siipendi ccm huyu bwn namheshim kwa utendaji wake wa kazi.
Sikiliza hapa nyumba hizo zilivyouzwa, usikurupuke!!
https://www.youtube.com/embed/LofQGOS0bCM?wmode=opaque
Sawa una uhuru wako lakini kwenye wizi na uchafu hakuna mwenye afadhali.Kila mtu ana uhuru wa kuwa na mtazamo wake mkuu. Na huo ndio wangu. Kama hao wawili ndo the only choice, I would go for Magufuli rather than EL.
Weka tofauti kati ya lowasa na magufuli?Kila mtu ana uhuru wa kuwa na mtazamo wake mkuu. Na huo ndio wangu. Kama hao wawili ndo the only choice, I would go for Magufuli rather than EL.
Weka tofauti kati ya lowasa na magufuli?
Wewe unafurahi ma Regional Manger wa TANROADS wanalia sasa amount ya hela walizoambiwa wachangie
Huo ni mtazamo wako, na ule ukiouqote ni wangu. Sio lazima mitazamo ifanane.Sawa una uhuru wako lakini kwenye wizi na uchafu hakuna mwenye afadhali.
Ndo maana tunasema ndani ya ccm hakuna anayefaa kabisa wote wachafu.
Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza huyu ripoti ya CAG imebaini bilioni 262 hajijulikani zimeenda wapi.
Sawa una uhuru wako lakini kwenye wizi na uchafu hakuna mwenye afadhali.
Ni kweli but hiyo kashfa haijamlenga magufuli moja kwa moja bali ni wizara, anaweza kuhusika au asihusike kwani hiyo wizara ina watu wengi.
Siwezi sikiliza rubish, nyuma zimeuzwa kwa usimamizi na ushauri wake. Kimadawake amepata nymba mwenge kabomoa kajenga Kebbys hotel, hivyo ndiyo wananchi wanajua na ndiyo ukweli wa hilo jambo
Weka Picha mkuu,mbona amechukua bila kutangaza nia? Alisharudisha zile nyumba alizowauzia vimada na kuuza kwa bei ya karanga? Masaki anauza nyumba kwa milioni nane?
You are right kingmairo, magufuli is the best of all
Emma nchi ukimtafitasafi 100% hutampata
Endelea kumpa moyo mchafu mwenzakoKUMBE UNAJUA WOTE WEZI, MBOWE KAMA ALIVYO LOWASSA, CHADEMA KAMA WALIVYO CCM, WOTE WEZI!!
![]()
Twende na Jembe Magufuli au Mwigulu Nchemba
hajaelewa hata mada zile bilioni 262 zawizara ya ujenzi amezipeleka wapi magufuli amepeleka wapi hati chafu kwa vyama hata ccm ipo.KUMBE UNAJUA WOTE WEZI, MBOWE KAMA ALIVYO LOWASSA, CHADEMA KAMA WALIVYO CCM, WOTE WEZI!!
![]()
Twende na Jembe Magufuli au Mwigulu Nchemba
Kwa hiyo magufuli ni msafi?Lowassa yeye mwenyewe ni mwizi, na pili wapambe wake ndo majizi toka enzi za richmond mpaka Escrow. Sikulazimishi wala sina mpango wa kukulazimisha ukubaliane na mtazamo wangu. Kila mtu ana haki ya kuwa na mtazamo wake.