Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiishakuwa mfuasi wa lowassa huna haki tena ya kuzungumzia uadilifu, maana kama kwako lowassa ni msafi basi hakuna tena aliye mchafu.huyu jamaa kafanya madudu sana wizara ya ujenzi, alitumia sana mabavu kupisha sheria na maamuzi, kwa mfano project nyingi amezipeleka sehemu ambayo hata siyo feasible. Kwa mfano kuna feasibility study ilifanyika mwaka 2004. Study ilisema sehemu ya kyamyorwa - buzirayombo (120km) inayopita nyumbani kwa magufuli (chato) siyo feasible sehemu iliyokuwa feasible ni ya usagara - geita. Ila kwa ujeuri wake na kutojali fedha za walipa kodi alibadilisha maamuzi ili mradi upite nyumbani kwake. Sehemu ya kwake ilijengwa 2005, sehemu iliyokuwa feasible ilijengwa 2009. Huo ni mfano mmoja tu wa madudu ya huyu jamaa, akipewa nchi si itakuwa balaaView attachment 257150View attachment 257151
Zile bilioni 262 zimeenda wapi?
Kutafuta mgombea uraisi msafi ndani ya ccm ni sawa kutafuta mwanamke bikra kwenye wodi ya wazazi.
utampigia wewe,huyu ni mwizi wa nyumba za serikali.
Bilioni 262 zimeenda wapi mbona hamjibu?Emma, kama huna ya kuongea kaa kimya, siku ya pili sasa huna hoja nyingine?kila sentesi mbili unarudia hayohayo.Grow!!
...............................................................................................................................................................Kapwela Magufuli akivuka round ya kwanza kwa CC iliyopo, ninaama nchi. Hana track record yotote kwenye chama. Hakuna hata barabara moja iliyojengwa kwa funds za GoT iliyodumu kwa design period. Kanunua meli ya kwenda Bagmoyo inatumia masaa manne, kakamata meli ya wavuvi wachina tumelipa fidia, kauza nyumba za Serikali kwa bei chini kuliko viwanja vya Mapinga Bagamoyo. Project nyingi zime fail kabla hata hazijafunguliwa sasa ni upofu mnao au nini?
ukiishakuwa mfuasi wa lowassa huna haki tena ya kuzungumzia uadilifu, maana Lowassa ndio msingi na mzizi wa uchafu na ufisadi katika taifa hili, hivyo kama kwako lowassa ni msafi basi hakuna tena aliye mchafu.
Mbona hajatangaza nia au kimya kimya kama Pinda
Jembe huoni hata aibu kusema. Maeneo yote nyeti wameuziwa watu binafsi, including vimada wake e.g Kebbys Hotel. Wewe umekaa kushabikia upuuzi. Huyu mtu angekuwa China angekuwa ameshanyongwa siku nyingi
Zile bilioni 262 zimeenda wapi?
magufuli hapaswi kuwa rais bali ni mtendaji.
Bilioni 262 zimeenda wapi mbona hamjibu?
Emma, kama huna ya kuongea kaa kimya, siku ya pili sasa huna hoja nyingine?kila sentesi mbili unarudia hayohayo.Grow!!
Hapo ndo akili ya watanzania siwaelewi. Kama anaweza kuwa mtendaji atashindwa nini kuwa rais.
Alafu wanalalamika mambo hayaendi na wakati huohuo hawataki mtendaji?watu wengine akili zao zinawatosha wenyewe.
Wengine eti kwao Fisadi Lowassa ndio chaguo la urais alafu eti wanajifanya kuzungumzia usafi, toka lini aliye ndani ya tope mwili mzima akaona mwingine kuwa mchafu??maigizo matupu!!
Huyu jamaa kafanya madudu sana wizara ya Ujenzi, alitumia sana mabavu kupisha sheria na maamuzi, kwa mfano project nyingi amezipeleka sehemu ambayo hata siyo feasible. kwa mfano kuna feasibility study ilifanyika mwaka 2004. Study ilisema sehemu ya Kyamyorwa - Buzirayombo (120km) inayopita nyumbani kwa Magufuli (Chato) siyo feasible sehemu iliyokuwa feasible ni ya Usagara - Geita. Ila kwa ujeuri wake na kutojali fedha za walipa kodi alibadilisha maamuzi ili mradi upite nyumbani kwake. Sehemu ya kwake ilijengwa 2005, sehemu iliyokuwa feasible ilijengwa 2009. huo ni mfano mmoja tu wa madudu ya huyu jamaa, akipewa nchi si itakuwa balaaView attachment 257150View attachment 257151
Porojo hizo, kwani hata ESCROW si walisema siyo hela si za Serikali