Unatangaza nia kwa Mbwembwe kama unatafuta Publicity au Unajisafisha. Lakini kama unauhakika wananchi wanajua UTENDAJI kazi na USAFI wako kwanini uhangaike na kutumia pesa kibao huku maabara hujachangia hata senti???
Jibu swali zile bilioni 262 alipeleka wapi?Kamuulizie kwanza Dr Slaa kama aliishatoa maelezo ya hati ya mashaka kwa CAG.
Magufuli tunamfahamu, tunamtambua.
Mbwembwe zote wakikukata CC wafwa!!!!
Ripoti ya CAG kwenye wizara ya ujenzi bilioni 262 hazijukani zimekwenda sasa usafi wake uko wapi au ccm ukiiba unakuwa msafi kama yule wa monduli mnavyomsifia.Unatangaza nia kwa Mbwembwe kama unatafuta Publicity au Unajisafisha. Lakini kama unauhakika wananchi wanajua UTENDAJI kazi na USAFI wako kwanini uhangaike na kutumia pesa kibao huku maabara hujachangia hata senti???
Hongera mno Magufuli.Tunasubiri kukupigia kura za kishindo.tunaelewa utendaji wako.
CCM wote ni wachafu tu ila wanatofautiana uchafu. Kwa maana hiyo kati ya Magufuli na Lowassa, ni bora Magufuli.
Huyu jamaa hana haja ata ya kuhonga pesa kama yule wa Monduli.
Huyu wananchi wenyewe kila anakopita ndivyo wanavyomuita.Hiyo ya kuita jembe sio mie jimembatiza, ndivyo Watanzania wenyewe walivyombatiza kila akiienda kwenye mikutano.
https://www.youtube.com/watch?v=5SOm4YS-T3k
https://www.youtube.com/watch?v=8Zm_ssRNjyI
Jibu swali zile bilioni 262 alipeleka wapi?
kumbe siyo bilioni 262 bado ana kashfa za kuuzia vimada nyumba za serikali?Weka Picha mkuu,mbona amechukua bila kutangaza nia? Alisharudisha zile nyumba alizowauzia vimada na kuuza kwa bei ya karanga? Masaki anauza nyumba kwa milioni nane?
Kibindoni!!
Kila mtu ana uhuru wa kuwa na mtazamo wake mkuu. Na huo ndio wangu. Kama hao wawili ndo the only choice, I would go for Magufuli rather than EL.Hakuna bora wote ni wachafu hawafai bilioni 262 siyo pesa ndogo atuambie alizipeleka wapi kwanza?
Jembe huoni hata aibu kusema. Maeneo yote nyeti wameuziwa watu binafsi, including vimada wake e.g Kebbys Hotel. Wewe umekaa kushabikia upuuzi. Huyu mtu angekuwa China angekuwa ameshanyongwa siku nyingi
Kibindoni!!
Hakuna bora wote ni wachafu hawafai bilioni 262 siyo pesa ndogo atuambie alizipeleka wapi kwanza?