wanasiasa makini ni lazima kuskizana gentlemanKuna mwana CCM kindakindaki anataka kumsikia Lissu?
Tuseme tunakubali hoja haina mashiko ya kifalsafa kwa sababu pingamizi analotoa Lissu linamgusa Lissu na Mbowe. Habari hii inaweza kupingika lakini tuseme tunamkubalia Lwaitama.Amesema hiyo hoja haina mashiko ya kifalsafa. Muwe mnaelewa, mnatupa kazi sana kuwafafanulia.
Sijui kama ungepata nafasi kwenye madarasa ya wanafalsafa wa uyunaniTuseme tunakubali hoja haina mashiko ya kifalsafa kwa sababu pingamizi analotoa Lissu linamgusa Lissu na Mbowe. Habari hii inaweza kupingika lakini tuseme tunamkubakia Lwaitama.
Tukimkubalia kwamba haitakiwi pingamizi limguse Lissu lakini lisimguse Mbowe, basi kiwaguse wote, Lissu na Mbowe wote wasigonbee uenyekiti, atakubali Mbowe asigombee uenyekiti?
Au anatumia sarakasi za kumtetea Mbowe kwa equivocation wakati hayupo tayari kumuondoa Mbowe kwenye uenyekiti?
Kichwa chako kimejaa matope wewe liccm?Hivi una uhakika una kichwa au helmet? Hiyo ni kampuni, sio chama cha siasa
Sijui kama ungepata nafasi kwenye madarasa ya wanafalsafa wa uyunani
Vyovyote itakavyokuwa, mbowe ubunifu umefikia mwisho...apishe mwingine, full stop!!.Kupendwa sio hoja, uwe unaelewa
Lissu anawatesa sana.mzee Lwaitama anajitahidi sana leo kueleza ukweli
Hujui maana ya uzalendo.Anasukumwa na uzalendo, atakiwa anaumia kuona chama kinataka kupotea
kamati kuu inamtesa zaidi,Lissu anawatesa sana.
Kwamba umeamua kumtukana Dkt. Lwaitama au?Man'gana ghasarikile.
Dk. Lwaitama asema hayo wakati akihojiwa na SAUTi DIGITAL. Kwamba uongozi wa chama ni suala nyeti zaidi ya kupendwa tu. Dk. Lwaitama alieleza kwamba kama ni kupendwa, Diamond Platinum anapendwa kuliko hata Lissu lakini huwezi kumpa uongozi wa chama.
Dk. Lwaitama alisema kwamba unaweza kuwa mchambuzi mzuri tu, lakini haukidhi kuwa kiongozi Mkuu wa chama.
Dk. Lwaitama amewataka wajumbe waangalie vigezo vya msingi, wasiongozwe na mihemuko wakachagua mtu ambaye chama kikipata dharura ya fedha, yeye hana hata mia, hata gari hana, hivyo chama kinaweza kuyumba.
Dk Lwaitama alisema kama hoja ni kumuondoa mtu aliyekaa muda mrefu, hata Lissu amekaa zaidi ya miaka 15 katika nafasi za juu, kwa hiyo kama ni hoja ya kubadili uongozi, hata Lissu inamgusa kwa kuwa amekaa muda mredu, na kwamba watu wapya ni Odero au Mapunda.
View attachment 3190522
huyu mzee akitumia mike usi share naye huwa inalowa mate na mapovu mwanzo mwishoMan'gana ghasarikile.
Dk. Lwaitama asema hayo wakati akihojiwa na SAUTi DIGITAL. Kwamba uongozi wa chama ni suala nyeti zaidi ya kupendwa tu. Dk. Lwaitama alieleza kwamba kama ni kupendwa, Diamond Platinum anapendwa kuliko hata Lissu lakini huwezi kumpa uongozi wa chama.
Dk. Lwaitama alisema kwamba unaweza kuwa mchambuzi mzuri tu, lakini haukidhi kuwa kiongozi Mkuu wa chama.
Dk. Lwaitama amewataka wajumbe waangalie vigezo vya msingi, wasiongozwe na mihemuko wakachagua mtu ambaye chama kikipata dharura ya fedha, yeye hana hata mia, hata gari hana, hivyo chama kinaweza kuyumba.
Dk Lwaitama alisema kama hoja ni kumuondoa mtu aliyekaa muda mrefu, hata Lissu amekaa zaidi ya miaka 15 katika nafasi za juu, kwa hiyo kama ni hoja ya kubadili uongozi, hata Lissu inamgusa kwa kuwa amekaa muda mredu, na kwamba watu wapya ni Odero au Mapunda.
View attachment 3190522
yuko upande wa nusu mkate,chadema ni ya wananchi cyo ya mbowemzee Lwaitama anajitahidi sana leo kueleza ukweli
Gentleman,yuko upande wa nusu mkate,chadema ni ya wananchi cyo ya mbowe
mzee lwaitama yuko kwenye kuamini falsafa ya chama ni cha mtu siyo cha wananchi na wanachamaGentleman,
mzee Lwaitama hafungamani na upande wowote na ametahadharisha tu kuhusu mapambio ya mitandao na kura halisi za wajumbe🐒