Dk. Mpango akunjua makucha aivaa Wizara ya Nishati kusuasua kwa mradi wa umeme

Dk. Mpango akunjua makucha aivaa Wizara ya Nishati kusuasua kwa mradi wa umeme

Makamu wa Rais, Dk. Philip Isdori Mpango amesema hajaridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi wa umeme wa Gridi ya Taifa katika Mkoa wa Katavi na kuiagiza Wizara ya Nishati kuhakikisha ifikapo 2023 mradi uwe umekamilika na hataki kusikia kiswahili wala kisingizio anataka Mkoa wa Katavi uwe umeunganishwa na umeme.

“Oktoba 2023 sitaki Kiswahili, sitaki kisingizio Mkoa wa Katavi uwe umeunganishwa na Gridi ya Taifa nafikiri tumeelewana, napenda niseme kwa uwazi kabisa sijaridhishwa na kasi ya ujenzi wa huu mradi wananchi wa wa Katavi wamesubiri umeme muda mrefu” amesema Dk. Mpango

SOURCE: ITV


Safi ,huku ndio kumsaidia Rais sio kuwa VP wa matamasha na sijui kutumwa hapana..

Wakisingua hao Waziri atasogeza file kwa Maza kupitisha wino mwekundu..
 
Dk Mpango endelea kukunjua makucha kweli kweli fuatilia mambo yote yanayolalamikiwa kwenye Wizara ya Nishati usiishie huo mradi wa Katavi
Makamu aendelee kusimamia ili kupunguza kero kwa wananchi
 
Makamu wa Rais, Dk. Philip Isdori Mpango amesema hajaridhishwa na kasi ya ujenzi wa mradi wa umeme wa Gridi ya Taifa katika Mkoa wa Katavi na kuiagiza Wizara ya Nishati kuhakikisha ifikapo 2023 mradi uwe umekamilika na hataki kusikia kiswahili wala kisingizio anataka Mkoa wa Katavi uwe umeunganishwa na umeme.

“Oktoba 2023 sitaki Kiswahili, sitaki kisingizio Mkoa wa Katavi uwe umeunganishwa na Gridi ya Taifa nafikiri tumeelewana, napenda niseme kwa uwazi kabisa sijaridhishwa na kasi ya ujenzi wa huu mradi wananchi wa wa Katavi wamesubiri umeme muda mrefu” amesema Dk. Mpango

SOURCE: ITV


 
Back
Top Bottom