Dk. Mwaka, tumia busara kidogo, namshauri RPC au RC wamuite na kumtaka aombe radhi, hii amani imepatikana kwa gharama

Acha Ujinga wewe. RC ana kazi nyingi kukaa kupatanisha kila jamaa yako anapogombana na mwingine. Kati ya hao unaowataja nani ndo mtu wako? Je wamo humu? Si uende ukaongee nao?acheni ujinga huo.
 
Hivi nyie watu mna ubongo au takataka, yaani RC au RPC apoteze muda wake amuite Dr
Fake Mwaka? Huyo Mwaka sio Dr ni fake tu, alafu acheni ujinga, kweli RC ana majukumu mazito kila siku ahangaike kumtafuta Mwaka? Mleta mada unabeba kichwa au boga?
Atakuwa kabeba boga huyu si bure
 
Yule Sheikh Mkuu wa Dar anaongea,anatumia neno " kuzingua" Kuzingua maana yake nini?
Sijui Dr. Mwaka ni nani. Lakini unataka aombe radhi kuhusu jambo gani?
Hizi scandal zinatokea hata katika Kabisa,mapadre wanafanya mambo ya ajabu. Kwa hiyo tunapaswa kuwa patient,tuwe na subira. Hawa watu(Men of the Cloth) mara nyingi hawana training ya kuwazuia kufanya hizi scandals
 
Yule kiongozi mfiraji aliyechanwa laivu ndio aombe radhi kwa kuichafua dini ya haki
 
...Mpaka inafika Post 50 Mleta Uzi hajajitokea kufafanua Uzi Wake unahusi Nini maana Wengine Tuko Namtumbo na hatufahamu kinachoendelea Dar.
Nashauri Uzi Ufutwe.
 
Wewe ni mzigo
Hao masheikh wanaowaka ni mzigo
Wachungaji wanaowaka ni mzigo.

Tumia busara kuangalia hili suala.

Acha upumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…