alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,197
Habari za ndani kabisa zinatabanaisha kwamba jamaa kapigwa chini na kagomea matokeo!
Imeelezwa yule mfupi wa Karagwe kagomea matokeo na kambi yake inalazimisha uchaguzi urudiwe na kambi nyingine ikiongozwa na wa Iringa na Rukwa wanataka uchaguzi usirudiwe.Hatari!
Imeelezwa yule mfupi wa Karagwe kagomea matokeo na kambi yake inalazimisha uchaguzi urudiwe na kambi nyingine ikiongozwa na wa Iringa na Rukwa wanataka uchaguzi usirudiwe.Hatari!