NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Anaweza kurudi coz alitumwa na kanisa kufanya siasa ili kutetea maslahi ya kanisa!!akiomba kurudi atakubaliwa tu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tindo una mTindio si bure weye!Kwanza hiyo TBC1 bado ipo siku hizi au unaleta story za kutunga?
Akili zako hazina akili. Jibu swali lililoulizwa. Hata mimi nataka kujua TBC bado ipo au haipo ..?!Unamatope kichwani wewe dogo
USSR
Apumzike tu kwa sasa,kuna siku nimeonana nae Airport moja kachokaa sana na mkoba wake kiasi nikafkilia huyu mzee sijuiAkaungane na mshkaji wake Rashid Gwajima kutoa huduma
Tbc haipo,hata mkurugenzi wake amesha ikimbiaAkili zako hazina akili. Jibu swali lililoulizwa. Hata mimi nataka kujua TBC bado ipo au haipo ..?!
HaaHuyu Dr. Slaa anapenda sana nyapu kuliko madhabahabu, sijui ilikuwaje akawa padri?
Kuna namna kanisa katoliki linakosaga umakini katika vetting ya kupata mapadri.
Wao Siyo Wajinga Na Hawawezi Kutoa Number Za SimuMada Kama hizo watuwekee cm tupige
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dk slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za kabisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni
Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba
USSR
Alitumwa kufanya siasa au alitumwa kuoa?Anaweza kurudi coz alitumwa na kanisa kufanya siasa ili kutetea maslahi ya kanisa!!akiomba kurudi atakubaliwa tu!!!
Akatubu kwanza dhambi zake kwa usaliti alioufanya kwa watanzaniaNamuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dk slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za kabisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni
Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba
USSR
Hawezi kuruhusiwa sema atakuwa amechanganyikiwaHuyu Mzee ni mtu wa hovyo sana, Na Kama ni kweli then huo ukatoliki utakuwa una matatiz
Kuna Zuzu mmoja alileta post hapa jamvini aakasema,Dr.Silaa atasimamisha Nchi! ,Kumbe alisimamisha TBCCM isionyeshel vipindi vya tunatekeleza!Hawezi kuruhusiwa sema atakuwa amechanganyikiwa
Tetetete CCM kumejaa wajinga haswaKuna Zuzu mmoja alileta post hapa jamvini aakasema,Dr.Silaa atasimamisha Nchi! ,Kumbe alisimamisha TBCCM isionyeshel vipindi vya tunatekeleza!
Kwa hiyo upadre kwake ameufanya kitu cha kujifurahisha tu. Alikuwa padre mwenye madaraka makubwa ndani ya baraza la maaskofu (TEC) akaamua kuondoka kwenda kwenye NGO , akatoka kwa tuhumu za ubadhirifu. Baada ya hapo kwenye siasa za upinzani... huko nako mambo hayakwenda vizuri hakuelewana na wenzake. Akasaliti upinzani akaenda Canada sabathical leave na akafanya kazi za kuajiriwa kwenye maduka makubwa " supermarkets". Baada ya hapo akateuliwa balozi Sweeden- hakuna tangible work yoyote tunayoijua aliyofanya muda wake wowote wa ubalozi. Leo amestaafu kwa sababu ya umri- anataka kutuaminisha kanisa Katoliki is such a loose organization inayoweza kumchukua mtu wa caliber hii?????Aombe sana sheria ya mapadri kuoa iharakishwe uko Vatican atarudi madhabahuni.
Zamani wakati anaingia upadri alikuwa mwema sema yule mwanamke josephine alimtongoza mheshimiwa huyu akatepetaaaaHuyu Dr. Slaa anapenda sana nyapu kuliko madhabahabu, sijui ilikuwaje akawa padri?
Kuna namna kanisa katoliki linakosaga umakini katika vetting ya kupata mapadri.