Dk Slaa: Bado naweza kurudi kuwa Padre

Dk Slaa: Bado naweza kurudi kuwa Padre

Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR
Ndio anaweza.Upadri na Sakramenti na ni wito.Kabla ya sheria kurekebishwa Mapadre walikuwa na wake na familia na hata sasa suala la kutokuoa ni suala la hiari (hiary ya lazima). Hivyo Dr. Slaa akiomba kuwa Padri na mama kanisa akiona kwamba inafaa(kwa kuongozwa na roho mtakatifu) basi anaweza kurudi kuendelea kuchunga kondoo wa bwana.
 
Tatizo la JF kila hoja zinajibiwa kimihemko au kiupande....mtoa mada kauliza swali la msingi ingefaa weledi wajibu kiweledi kwa faida ya wengi maana elimu haina mwisho.....lakini badala yake zinakuja dhihaka na matusi......

Watanzania tubadilikeni tusiviegemeze vichwa na mioyo yetu kwenye haya mambo kila wakati inaminya uwezo wa UBONGO kuchanganua mambo ya msingi.....
 
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR
Hawezi kwasababu aneishaoa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR

Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR
Kuna askofu mkuu alikuwa Zambia nadhani. Alikuwa na karama ya kuombea wagonjwa wakapona nk. Akaacha kufuata mpango wa kanisa wa kutoa karma. Akajiengua akajiunga na kanisa la huko Asia na kupewa mke. Mwisho alirudi tena katoliki. Sijujui yuko wapi lakini vyombo vya habari vilisema yuko rome. Hivyo chochote kibawezekana kwani bado ni padre. Hizo ndoa ni za area commisioner alizofanya.
 
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR

Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba

USSR
Kuna askofu mkuu alikuwa Zambia nadhani. Alikuwa na karama ya kuombea wagonjwa wakapona nk. Akaacha kufuata mpango wa kanisa wa kutoa karma.

Akajiengua akajiunga na kanisa la huko Asia na kupewa mke. Mwisho alirudi tena katoliki. Sijujui yuko wapi lakini vyombo vya habari vilisema yuko rome. Hivyo chochote kibawezekana kwani bado ni padre. Hizo ndoa ni za area commisioner alizofanya.
 
Kwa hiyo upadre kwake ameufanya kitu cha kujifurahisha tu. Alikuwa padre mwenye madaraka makubwa ndani ya baraza la maaskofu (TEC) akaamua kuondoka kwenda kwenye NGO , akatoka kwa tuhumu za ubadhirifu. Baada ya hapo kwenye siasa za upinzani... huko nako mambo hayakwenda vizuri hakuelewana na wenzake. Akasaliti upinzani akaenda Canada sabathical leave na akafanya kazi za kuajiriwa kwenye maduka makubwa " supermarkets". Baada ya hapo akateuliwa balozi Sweeden- hakuna tangible work yoyote tunayoijua aliyofanya muda wake wowote wa ubalozi. Leo amestaafu kwa sababu ya umri- anataka kutuaminisha kanisa Katoliki is such a loose organization inayoweza kumchukua mtu wa caliber hii?????
Anajaribu kupoteza mawazo kwa kujifariji.
 
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni.

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba.

USSR
Kama anaweza arudi. Aache porojo
 
Anaweza kurudi kwaajili ya kusafisha utandu na buibui kwenye madirisha
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni.

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba.

USSR
 
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni.

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba.

USSR
Kanuni za roman Catholic church zinaruhus ,hla suala la yy kusmama tena altaren 😟 never,
Ye alkmbia so akirud atakla kifungo cha kutokutoa huduma maisha.
 
Namuona hapa TBC1 balozi mstaafu Dkt. Slaa anapiga kamba eti kwa kanuni za Kanisa canon law anaweza kurejea madhabahuni akawaongoza kandoo za bwana waende mbinguni.

Eti wajuvi ni kweli huyu Mwanasiasa anaweza kurudi kanisani au ndio tunapigwa kamba.

USSR
Ukishakuwa chama Fulani unakuwa sawa na mungu angebakia kule kule asingekuwa na nguvu hiyo
 
Kwanini asiweze au kwasababu alioa? Mbona ndoa sa mashoga papa aliruhusu au mwanaume kuoa mwanamke ndo kosa
 
Back
Top Bottom