Dk Slaa: Bado naweza kurudi kuwa Padre

Si alikuwa asimamishe Nchi tarehe 3 December imekuaje tena?
Nilicomment kwenye Ile Uzi wa kipumbavu sana dogo akaja na maswali ya kijinga eti una hakika Slaa ni irrelevant kwa sasa? Nilimwambia Nina uhakika asilimia Mia moja hakuna atakayehangaika nae huyo mjinga, hakunaga padri mjinga namna Ile heri aliacha upadri,
 
Mungu hadhihakiwi, ipo siku atasema mambo ya jalalani
 
Kachanganyikiwa

Dhambi ya usaliti huwa haipoi

Kasaliti kiapo cha kanisa, kasaliti chakachuma, Kapora mtu mke

Aache ndoto
 
Hivi huyu si yupo kwenye uchumba sugu na Josefina?
 
Impossible and even if (No longer needed anymore).
 
Kwa roho ya chuki aliyonayo ni bora ajiunge na Mfalme Zumaridi
 
Mufa maji huyo ... haendani na sera za mama soon hatarudi kanada kwenye super market...
Huyu mzee alikuwaga na akili nyingi sana ila toka hamekubali kununuliwa na jiwe kakosa mvuto kabisa ...hoja zimeshamuishiya. Mkumbusheni kwamba umri umeyoyoma
Matumizi ya herufi "h" inakuharibia sana point zako. Umeathiriwa na mother tongue au ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…