Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashauri viongozi waandamizi wa chadema wapunguze ulevi au waache kujadiliana masuala ya chama chao wakiwa kwenye pombe.Nguli, na kigogo, Cingwiyemisi wa siasa za upinzani, Dk Slaa, ametabiri kipigo kitakatifu kwa Chadema katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Slaa amesema chama hicho hakina maandalizi, na kimekata tamaaView attachment 3128869
Kama John Mrema alipewa bia ngumu aina ya Safari akaharibu uchaguzi jimbo la nyasa, huyo hawezi kuacha pombe, hata sauti yake inakoroma kama ya mchungaji mashimo. Huwa anapiga safari miksa kvantNashauri viongozi waandamizi wa chadema wapunguze ulevi au waache kujadiliana masuala ya chama chao wakiwa kwenye pombe.
Wanajidanganya sana na kujipa matumaini hewa sana wakiwa nzwiuii 🐒
Dr. Slaa amejiandikisha lakini kwa ajili ya kupiga kura?Slaa amesema chama hicho hakina maandalizi, na kimekata tamaa
Mzee kaongea ukweli….haya mapinzani plus asili yetu wadanganyika ndo kabisaaa….
Kwani wewe ni mwanachama wa chadema?Watashindwa kwa uchaguzi gani unaoenda kufanyika?
Amesema ukweli kabisaNguli, na kigogo, Cingwiyemisi wa siasa za upinzani, Dk Slaa, ametabiri kipigo kitakatifu kwa Chadema katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Slaa amesema chama hicho hakina maandalizi, na kimekata tamaa
kuna huyo anaitwa sijui kijaila aise ananyonya pombe huyo, ni balaa halafu hachagui aina ya pombe, afadhalli hata chairman inajulikana anakunywa nn🐒Kama John Mrema alipewa bia ngumu aina ya Safari akaharibu uchaguzi jimbo la nyasa, huyo hawezi kuacha pombe, hata sauti yake inakoroma kama ya mchungaji mashimo. Huwa anapiga safari miksa kvant