LGE2024 Dk. Slaa: CHADEMA haijajiandaa kushindana uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, atabiri kwamba watashindwa vibaya mno

LGE2024 Dk. Slaa: CHADEMA haijajiandaa kushindana uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, atabiri kwamba watashindwa vibaya mno

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Nguli, na kigogo, Cingwiyemisi wa siasa za upinzani, Dk Slaa, ametabiri kipigo kitakatifu kwa Chadema katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Slaa amesema chama hicho hakina maandalizi, na kimekata tamaa
Dr Slaa amezunvumza ukweli kama anavyouona yeye. Nami kwa kikubwa nakubaliana na hoja zake. Ila wewe mtoa mada umeongeza humvi sana.
 
Nguli, na kigogo, Cingwiyemisi wa siasa za upinzani, Dk Slaa, ametabiri kipigo kitakatifu kwa Chadema katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

Slaa amesema chama hicho hakina maandalizi, na kimekata tamaa
Huyu mzee siyo role-model wala si standard unit ya chochote hivyo kauli zake tata zinadhihirisha alivyo na psychological down syndrome, kama familia tu inamshinda kuiendesha kama mwanaume kamili anatoa wapi guts za kujifanya anatoa ushauri wa kuendesha organisation kubwa na yenye watu wengi.
 
Huyu mzee siyo role-model wala si standard unit ya chochote hivyo kauli zake tata zinadhihirisha alivyo na psychological down syndrome, kama familia tu inamshinda kuiendesha kama mwanaume kamili anatoa wapi guts za kujifanya anatoa ushauri wa kuendesha organisation kubwa na yenye watu wengi.
Suala la kushindwa kuendesha familia ni la ki historia, lilianza na Adam pale Eden, akaja samson, hata Lissu kaachwa na mkewe, zingatia hoja zake
 
Suala la kushindwa kuendesha familia ni la ki historia, lilianza na Adam pale Eden, akaja samson, hata Lissu kaachwa na mkewe, zingatia hoja zake
Imani na sii hasaa havichangamani.
 
Mbowe aliyemteua Lowassa kuwa mgombea wa Uraisi aliyewahi kusema ni miongoni wa mafisadi papa wa nchi hii so yeye sio yuda?
Wote hao ni ma-Yuda

ILA mbowe zaidi aisee…. Aliuza chama kızıma kwa vipande vya pesa
 
wananchi watasusia uchaguzi hadi lini?!
kwahiyo maneno ya dr. Slaa ni ya kweli?!

yapo mambo mengi ambayo vyama vya upinzani wanaweza kufanya ila wapo kmya tu. Sina imani nao hata kidogo

mimi sipo ktk chama chochote, ila siasa ya Tz, ni usanii, kupoteza muda, hamna upinzani wa kweli, na ccm itaendelea kutamba na kutawala wasiojielewa kwa kipindi kirefu

..Ccm wanapokea 3.2 BILLION ya ruzuku kila mwezi.

..Vyama vya upinzani vina hali mbaya kifedha ndio maana vinashindwa kufanya siasa.

..wananchi tunatakiwa kuhamasika wenyewe kupenda mabadiliko na sio kusubiri kusukumwa au kushtuliwa na vyama vya siasa.
 
Back
Top Bottom