Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,819
- 7,638
Dr Slaa amezunvumza ukweli kama anavyouona yeye. Nami kwa kikubwa nakubaliana na hoja zake. Ila wewe mtoa mada umeongeza humvi sana.Nguli, na kigogo, Cingwiyemisi wa siasa za upinzani, Dk Slaa, ametabiri kipigo kitakatifu kwa Chadema katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Slaa amesema chama hicho hakina maandalizi, na kimekata tamaa